Ngussa makandi
Member
- Mar 7, 2017
- 11
- 13
Kila ninapohamisha fedha toka bank kwa njia ya simu ni lazima niwe na salio la kawaida kwenye simu, tatizo ni pale ninaporuhusu kukatwa salio la kawaida ili muamala ukamilike salio linakatwa halafu muamala haukamiliki kwa nini msiwe mnakata salio baada ya muamala kukamilika hamuoni kama huo ni wizi ba unyanyasaji kwa mteja wenu.