CRDB bank ni noma, mashine pekee ya wakala wananipa kwa milioni moja

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Kwenye kujitafuta bhana nikasema niombe Uwakala wa benki ya CRDB

Sasa achana na Pesa ambayo nitaweka kwenye Account kwaajili ya kazi, naambiwa mashine yao inapatikana kwa Milioni 1 hadi nilishikwa na mshangao kwanza, hiyo mashine ni single purpose nailipia M.1... khaaaaa

Na tozo za nchi hii... sasa hapa kichwa kinawaka Moto.. au ni..

Muwe na siku njema wakuu.
 
Fanya biashara nyingine! Tatizo watu tunataka kitonga na white collar job! Mtu aanzishe benki yake alafu wewe uje ujishikishe uanze kupiga hela bure? Hakuna kitu kama hicho!
 

NMB ni 1,106,000. NBC ni Bure

Kipindi nachukua CRDB nililipia 265,000 kwa ajili ya Mashine naona sasa imepanda
 
mkuu usiseme kichwa sema bichwa linawaka Moto!
 
KIZURI KULA NANDUGUYAKO....HUJUI
 
NMB ni 1,150,000, wanafanana
 
Duh, kama ni kweli basi kufanya biashara bongo ni kazi sana. Hapo hujakutana na TRA, Halmashauri, Osha, umeme, taka, maji, ulinzi na bado hawajakuibia. Noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…