YesHio 1M ni non refundable au ?
Juzi jamaa mmoja na ujanja wake kapigwa laki 8Bado matapeli hawajaja kukutapeli, kila siku zinaingia njia mpya za utapeli.
Aisee nikauze Mandazi na Kachori tu sasa
Fanya biashara nyingine! Tatizo watu tunataka kitonga na white collar job! Mtu aanzishe benki yake alafu wewe uje ujishikishe uanze kupiga hela bure? Hakuna kitu kama hicho!Kwenye kujitafuta bhana nikasema niombe Uwakala wa benk ya CRDB
Sasa achana na Pesa ambayo nitaweka kwenye Account kwaajili ya kazi, naambiwa mashine yao inapatikana kwa Milioni 1 hadi nilishikwa na mshangao kwanza, hiyo mashine ni single purpose nailipia M.1... khaaaaa
Na tozo za nchi hii... sasa
Hapa kichwa kinawaka Moto.. au ni..
Muwe na siku njema wakuu.
ngoja ninywe bia kwanza hapa ndio nitafute business ideas vizurFanya biashara nyingine! Tatizo watu tunaka kitonga na white collar job! Mtu aanzishe benki yake alafu wewe uje ujishikishe uanze kupiga hela bure? Hakuna kitu kama hicho!
Kwenye kujitafuta bhana nikasema niombe Uwakala wa benki ya CRDB
Sasa achana na Pesa ambayo nitaweka kwenye Account kwaajili ya kazi, naambiwa mashine yao inapatikana kwa Milioni 1 hadi nilishikwa na mshangao kwanza, hiyo mashine ni single purpose nailipia M.1... khaaaaa
Na tozo za nchi hii... sasa hapa kichwa kinawaka Moto.. au ni..
Muwe na siku njema wakuu.
mkuu usiseme kichwa sema bichwa linawaka Moto!Kwenye kujitafuta bhana nikasema niombe Uwakala wa benki ya CRDB
Sasa achana na Pesa ambayo nitaweka kwenye Account kwaajili ya kazi, naambiwa mashine yao inapatikana kwa Milioni 1 hadi nilishikwa na mshangao kwanza, hiyo mashine ni single purpose nailipia M.1... khaaaaa
Na tozo za nchi hii... sasa hapa kichwa kinawaka Moto.. au ni..
Muwe na siku njema wakuu.
HUu uongo sasa nbc bure imeanza lini, labda utumie ya selcom ambazo sasa hivi hawaunganishi tenaNMB ni 1,106,000. NBC ni Bure
Kipindi nachukua CRDB nililipia 265,000 kwa ajili ya Mashine naona sasa imepanda
HUu uongo sasa nbc bure imeanza lini, labda utumie ya selcom ambazo sasa hivi hawaunganishi tena
KIZURI KULA NANDUGUYAKO....HUJUIKwenye kujitafuta bhana nikasema niombe Uwakala wa benki ya CRDB
Sasa achana na Pesa ambayo nitaweka kwenye Account kwaajili ya kazi, naambiwa mashine yao inapatikana kwa Milioni 1 hadi nilishikwa na mshangao kwanza, hiyo mashine ni single purpose nailipia M.1... khaaaaa
Na tozo za nchi hii... sasa hapa kichwa kinawaka Moto.. au ni..
Muwe na siku njema wakuu.
NMB ni 1,150,000, wanafananaKwenye kujitafuta bhana nikasema niombe Uwakala wa benki ya CRDB
Sasa achana na Pesa ambayo nitaweka kwenye Account kwaajili ya kazi, naambiwa mashine yao inapatikana kwa Milioni 1 hadi nilishikwa na mshangao kwanza, hiyo mashine ni single purpose nailipia M.1... khaaaaa
Na tozo za nchi hii... sasa hapa kichwa kinawaka Moto.. au ni..
Muwe na siku njema wakuu.