Huyo huyo kama kaburu fulani hivi, aisee alitusumbua njoo kesho kesho kutwa mwisho tena tukaona hatuwezi kushindana tukaachia ila INAUMA SANA!
Jamani hivi wenzetu hizi pesa mnatowa wapi! au mna migodi? maana Millioni 10 ukinidhurumu mimi unaweza hata kunisababishia tatizo kubwa la kisaikolojia.
Mkomatembo,
KIla boss ana boss zaidi yake, andika E-mail kali sana unamtumia Director wao Operations una copy Director Risk , una copy Director Marketing , una copy huyo branch Manager na una copy MD-Kimei. Unachohitaji mtu wa ndani tu akupe hizi contacts zao, halafu kama hujapata pesa zako within one week unatuma reminder 1 unaanza kusikilizia. Nakwambia lazima upate pesa zako kaka. System za kibenki hazipotezi kumbukumbu, huyo anayefanya reconciliation atakurupushwa huko alipo ataanzia nyuma hata kama mwaka 1996.
Kwenye hiyo e-mail usisahau ku attach copy yako ya certificate ya FDR
Utashangaa sana bro badala ya wewe kuwa unawatafuta wao wataanza kukutafuta wewe!
Hivi mko serious kweli, haya maneno ya kuibiwa unamwachia Mungu yanatokana na nini? Mi nilikuta 70,000 imepungua siku hiyo hakuna aliefunga benki. Walileta longo longo eti nimewapa watu password na hela imetolewa ATM, nikauliza ya wapi?, ilikua lumumba wakaniuliza na wao ulifungulia account wapi?, balaa likaanzia hapo kwenye majibu ya hovyo. Mpaka Brach manager alikuja, akanishauri niende Azikiwe nilikofungulia account. Nilienda nikaeleza mkasa mzima wakachek wakaona ni ATM ya PPF tower imehusika. Nikawaambia nataka hii hela sasahivi, nao walinisukumia PPF. nilifika hapo na ilikua mida ya kufunga, nikawaambia nataka hela sio story, ilibidi nibaki humo na watumishi kufuatilia camera tuone mwizi nani.
Wee, nguvu zote ziliniishia nilipoona ni mdogo wangu ambae nilijua hajawahi hata kuiona ATM card yangu. Basi nilijifanya simjui na nikaaga eti nitarudi kesho kwa taratibu za kuandika barua ya ku-claim. Sijarudi hadi leo.
Najua mnataka kujua huko nyumbani ilikuaje, ila nachotaka kuwaambia ni kwamba futeni hizo habari za kumwachia Mungu, dai haki yenu hadi ipatikane.
Go and read again about the financial crisis in the US... And you should not have dismissed the guy because you don't even understand the projected cash flow pattern from the project he is talking about.What matters is not the value of collateral but the ability of the business to generate adequate cash flows for repayment of finances. Sub-prime crisis which heavily affected USA financial markets was a result of financial institutions relying on value of mortgages without looking at cash flows.
The value of 320 million is just inflated number which can not be realized by way of sale.
Kaka mbona unajitaftia shida... Crdb ina wenyewe na biashara zai, kimei is busy shagging his employeesI am a CRDB bank customer and a businessman. I secured a contract worth sh 280m and approached CRDB for some financing and tbey asked for a collateral. I provided my house worth 320m as collateral. They approved the overdraft nine months later when the project had ellapsed and I had suffered a lot and sold some properties to get the financing I had needed. That was last year. This year I got a contract worth 400m and applied for an in increase on the meager overdraft of 50m they had earlier approved, but it took them 4 months to reject it! Just imagine: I have a project worth 400m on hand and a property worth 320m whose tittle deed they are holding and they cant approve a small working capital so that I can finish my project, pay them and move on! And I laughed a lot when I heard Kimei saying they got financing from AfDB and they will use it to finance people even without collateral! Gimme a break, Kimei!
Hujaaddress issue ya inkoskaaz ila umeleta utumbo wa excuseWhat matters is not the value of collateral but the ability of the business to generate adequate cash flows for repayment of finances. Sub-prime crisis which heavily affected USA financial markets was a result of financial institutions relying on value of mortgages without looking at cash flows.
The value of 320 million is just inflated number which can not be realized by way of sale.
hahahahaaa....sasa hawa wanafanyaje hapa????(i mean kwenye uzi huu)
hata mimi lazma nifoke, na kwa nini umemuachia mungu, unamuona Mungu mwizi pia, nyie watumanaweka mahela yote hayo benki mnanenepeana, sisi tunapata shida...nimemaliza degree, hela ya mastaz sina eti imeibiwa hata mimi jikiiona naikwapua n nyoooo! Na kususpend maana yake nini? mimi si kususpend tu, naibomoa, nadig naificha..matajiri hamtutetei tunateseka, kazi ona juzi walitangaza sioni yenye haueni, labda afisa kata..yaani mnataka mtukabidhi kwa walewale sisiemu watumalize kum>^%##nina zenu! IBA! IBA..MBUNGE GONGA RUSHWA tukutane kwa mungu. nyie mnadhani wale wanofanya kazi benki matajiri kama nyie mnaoweka hela zetu
Hujaaddress issue ya inkoskaaz ila umeleta utumbo wa excuse
the focus is in performance.. Hayo ya value hatasababishi 9 months delays
Go and read again about the financial crisis in the US... And you should not have dismissed the guy because you don't even understand the projected cash flow pattern from the project he is talking about.
Wewe umeona leo? mdogo wangu aliweka fixed term deposit miaka ya 2000 mwanzoni, akasafiri, hakurudi kwa wakati, nashangaa ilipomature pesa yake badala ya kuiweka katika account yake after maturity, wakaiweka kwenye suspense sielewi kwanini, baada ya muda mdogo wangu anaenda kuulizia pesa yake IMELIWA NA MPAKA LEO NINAVOKWAMBIA TUMEHANGAIKA SANA TENA SANA ! PESA HAIJARUDI AMEAMUA KUMUACHIA MUNGU. NA NINA IMANI ATAMLIPIA KWA NJIA YEYOTE ILE. Ni pale Holland House, tumeenda kwa manager mpaka tumechoka! tena mwisho akawa anafoka , imagine ilikuwa mil 2 ya miaka 1999.