Wazo zuri sanaaaaaaaa......Wewe unemwandikia Mkurugenzi wao Dr.Kimei angelipatia ufumbuzi suala lako. Unajua kuna mameneja wengine wanadharau sana wanafunzi utafikiri nao hawakuwa wanafunzi.
Wazo zuri sanaaaaaaaa......
lakin wanafunz benk yenu si ipo udom? mi naona ni poa tu, mana wanafunz smtime mnapenda kuja mjin bila sabb za msing na ku2sababishia wengine jam isiyokuwa na mana, CRDB dodoma nawaunga mkono kwa kuwawekea dirisha moja, hii inawasaidia wao binafsi kupunguza matumizi hasa safar za mjini, mana inawa discourage ku acces acont zao pind wawapo mjin. big up.
lakin wanafunz benk yenu si ipo udom? mi naona ni poa tu, mana wanafunz smtime mnapenda kuja mjin bila sabb za msing na ku2sababishia wengine jam isiyokuwa na mana, CRDB dodoma nawaunga mkono kwa kuwawekea dirisha moja, hii inawasaidia wao binafsi kupunguza matumizi hasa safar za mjini, mana inawa discourage ku acces acont zao pind wawapo mjin. big up.
ada wanalipia crdb bana....Amieni NBC MPATE HUDUMA BORA! Watanzania achane Lawama.
dodoma kuna vyuo vingi ukiacha udom je na hao wengine waende wapi?lakin wanafunz benk yenu si ipo udom? mi naona ni poa tu, mana wanafunz smtime mnapenda kuja mjin bila sabb za msing na ku2sababishia wengine jam isiyokuwa na mana, CRDB dodoma nawaunga mkono kwa kuwawekea dirisha moja, hii inawasaidia wao binafsi kupunguza matumizi hasa safar za mjini, mana inawa discourage ku acces acont zao pind wawapo mjin. big up.