SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
CRDB dodoma branch haiwezekani maelfu ya wanafunzi dodoma kuhudumiwa kupitia dirisha mojo uku wale ambao sio wanafunzi kuhudumiwa kupitia madirisha sita kwani huku ni kupotezeana muda kwani ukienda madirisha mengine wanakataa.
My take:
CRDB bado tuko safarini kama leo hii mnawatenga kumbuka kesho watakapo maliza masomo yako kuja kuwa wateja wenu itakuwa ngumu kwa kukumbuka mateso waliyowapata wakati mlipokuwa mmewagawanya kimatabaka. Ila kwa kuwa fair nusu ingekuwa wanafunzi na yanayobaki wengine.
Nawasilisha
My take:
CRDB bado tuko safarini kama leo hii mnawatenga kumbuka kesho watakapo maliza masomo yako kuja kuwa wateja wenu itakuwa ngumu kwa kukumbuka mateso waliyowapata wakati mlipokuwa mmewagawanya kimatabaka. Ila kwa kuwa fair nusu ingekuwa wanafunzi na yanayobaki wengine.
Nawasilisha