CRDB hii siyo sawa, rekebisheni hili

CRDB hii siyo sawa, rekebisheni hili

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,402
Reaction score
4,532
Mko vizuri sana kwenye slogan yenu ULIPO TUPO.

Mtu anakopa hela kwenu kwa makubaliano kuwa mtakuwa mnamkata kwenye mshahara wake kila ukiingia mwisho wa mwezi.

Mme muingizia mtu mkopo jumatatu hii mshahara haujaingia bado lakini leo hii alhamisi mmeanza kukata kwenye ule ule mkopo mnakiuka makubaliano.

Kulipwa ni haki yenu lakini mnamchanganya mteja.
 
Wafuate uwaulize labda makubaliano yako tofauti na ulivyoelewa...
 
Mko vizuri sana kwenye slogan yenu ULIPO TUPO.
Mtu anakopa hela kwenu kwa makubaliano kuwa mtakuwa mnamkata kwenye mshahara wake kila ukiingia mwisho wa mwezi.Mme muingizia mtu mkopo jumatatu hii mshahara haujaingia bado lakini leo hii alhamisi mmeanza kukata kwenye ule ule mkopo mnakiuka makubaliano.Kulipwa ni haki yenu lakini mnamchanganya mteja.
Yaani wamekata kabla hujapata mkopo, au wamekata mkopo kwënye mshahara wa mwenzi huu
 
Mko vizuri sana kwenye slogan yenu ULIPO TUPO.
Mtu anakopa hela kwenu kwa makubaliano kuwa mtakuwa mnamkata kwenye mshahara wake kila ukiingia mwisho wa mwezi.Mme muingizia mtu mkopo jumatatu hii mshahara haujaingia bado lakini leo hii alhamisi mmeanza kukata kwenye ule ule mkopo mnakiuka makubaliano.Kulipwa ni haki yenu lakini mnamchanganya mteja.

CRDB ni madalali pia usisahau.​

CRDB ilikuwa enzi ya Dr Kimei​

 
mkopo nimepata jumatatu hii nikaona umeingia shillingi ngapi ajabu leo alhamisi panga limepita na mshahara haujaingia.
Wamekata mkopo juu ya mkopo, hpo balaa, labda tarehe ya mahahara inasoma siku waliyokata, but mahesabu ni yaleyale. Hutakatwa ukiingia
 
Ndugu yangu hayo sio makato ya mkopo bali ni kitu kingine kabisa.

Kuna bima ya mkopo ambayo huwa inakatwa baada ya mkopo kuingizwa.

Pia kuna processing fee ya mkopo nayo hukatwa baada ya mkopo kuingia.

MKUU SOMA MASHARTI YAO VIZURI KUNA VITU HUWA HAVISEMWI KWENYE HIZI ISSUE ZA MIKOPO.
 
Back
Top Bottom