CRDB Iringa- Kwa wizi huu mmezidi sasa!!

CRDB Iringa- Kwa wizi huu mmezidi sasa!!

mie niko bank though siyo crdb wat i know ni kwamba kuna wizi mkali sana unaoendelea sasa hivi katika ATM zetu kuna vifaa ambavyo jamaa(matapeli) wanafunga kwenye atm ambacho kina detect number za siri, za mteja na hivyo kuwawezesha kutengeneza za kwao na kuja kupiga hela. swala la siku 45 ni sahihi kabisa maana kumrefund mteja ni swala ambalo watakiwa kujihakiki sana. coz siyo kila anae claim ni kweli kaibiwa wengine ni janja janja tuu. so poleni sana.

Watafungaje kwenye ATM kama sio mfanyakazi wa bank??
Hapa kuna tatizo
 
Ndio maana mimi nliamua kuweka pesa zangu uswisi tu nafata nyayo za viongozi wangu,hapa bongo tunaibiana sana
 
Watafungaje kwenye ATM kama sio mfanyakazi wa bank??
Hapa kuna tatizo

cyo kama cye hapa tumefanikiwa kuwakamata wa bulgaria wawili waliokuwa wanapiga hapa town na mitaa ya mlimani city. wale jamaa wanaweka device moja pale unapochomeka kadi,na nailoni nyepesi sana pale penye namba so ni mtandao mkubwa saana
 
Watafungaje kwenye ATM kama sio mfanyakazi wa bank??
Hapa kuna tatizo

Huwa wanabandika kifaa kidogo sana sehemu ya kuingizia card ambacho hata mfanyakazi wa bank siyo rahisi kukigundua, kikipata info za kutosha wanazitumia hizo info kuprint card fafa na kuweza kutoa pesa ila kuna ATM machine huwa zinafungwa kifaa maalum kudetect hizo card fafa,so far in Tanzania nadhani ni ATM za Barclays tu zina hicho kifaa but teknolojia inakua kila siku so anything is possible
 
Kaka poleni! Hiyo ni Hasara kwa Bank after investigation inayochukua 45 days watarudishiwa but ni vzuri kufuatilia from time to time, nami ilishanitokea CRDB ilichukua zaidi ya miezi miwili hela kurudishwa.

asante mkuu... ngoja tuendelee kuangaza macho..na kuendelea kufatilia!!
 
Huwa wanabandika kifaa kidogo sana sehemu ya kuingizia card ambacho hata mfanyakazi wa bank siyo rahisi kukigundua, kikipata info za kutosha wanazitumia hizo info kuprint card fafa na kuweza kutoa pesa ila kuna ATM machine huwa zinafungwa kifaa maalum kudetect hizo card fafa,so far in Tanzania nadhani ni ATM za Barclays tu zina hicho kifaa but teknolojia inakua kila siku so anything is possible

Duuuuuuu!! Nilikuwa sijainyaka hii....
 
Hii ni mbaya sana, tena hivi sasa wafanyakazi wa bank wanaiba ama kushiriki wizi bila aibu.

Wiki hii kuna rafiki amekwapuliwa hela zake NMB Dsm tena bahati yake ameunganisha akaunti na mtandao wa simu, hivyo ilipochukuliwa akapata notification. Surveillance zimemnasa bank staff akichomoa pesa. Hatua zinachukuliwa.

Mimi napata mashaka kwamba inawezekana siyo wafanyakazi wa chini tu bali hata mabosi wa bank hizo wanajua kinachoendelea na wanabariki. Inawezekana bank zimekopesha pesa kwa wafanyabiashara na zimekaukiwa na hazijarudi.... maswali ni mengi.

Siku 45 kufuatilia fedha ni siku nyingi mno.

All in all ni kuhujumu uchumi maana pesa imezuiwa kuingia kwenye mzunguko na mlipwaji atakosa mahitaji muhimu for the time being.
 
Nanyoandika hapa niko na rafiki yangu tumeingia bank, rafiki yangu kaenda kwa cashier kuwithdrawal 3m, anaambiwa balance yake haitoshi,hakuamin akawa mkali kidogo coz tarehe 29/10 jamaa alideposit 4m na hajatoa chochote since then,akaomba statement ndio tukaona madudu, apparently kuna mtu amekua akitoa pesa kupitia an ATM (NBC Ltd/Lindi 3), kutoka tarehe 29/10/2012 jamaa kashalamba 1,780,000 na zote katolea hukohuko lindi in the same ATM
 
wakabe mpaka penati zitarudi haiwezekani zipotee kimazingaombwe wao wanaujua huo mchezo
 
Back
Top Bottom