CRDB kupiga marufuku smartphone kwa wafanyakazi wake.

Ndio mana twazidi kuwa maskini, mzungu hawez fanya upuuzi ka huo. Hiyo ni very madiocre & rort kind of decision. Kwa nini asitumie cctv camera na kuwatimua wote ambao hawajali kazi? Huku kubebana ndio nchi haiendelei..inaudhi sana hii. Huyo manager kilaza tu
 
Kuna bank fulani, nadhani EXIM ukiingia tu ndani network inakata kwa wote wafanyakazi na wateja. Nadhani hiyo system ndo nzuri. Niliiona dar ila mza sijanotice. Siku nyingine nikienda nitscheck
 
Kuna mtoto mmoja yuko pale Azikiwe Premier namtamani sana toka siku nyingi ila juzi nimemkuta na engagement ring sijaelewa

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Sasa nawee mzigo unautaman then unaMbwela unaona sasa mwenzio kawahi Ukitaka uambulie basi umsubiri hadi awe USED ndo anaweza kuelewa somo lako lkn kwa hivyo alivyo kaambali nae atakuporonoshea mitusi hadi ujidharau,,,,,!!!
 
Khs habari yakuchezea CM wakati wa kz cBANK peke yake ingawa BANK wanBORE zaidi sababu unakuta misururu ya watu then Muhudumu ndo kwaaanza kainamia kaCM.kake
 
Simu waache nje ya ofisi mpk mda wa kazi uishe ndio wachat wakipewa ata philips savy watachat tuu so dawa ni kuzuia wasiingie na simu kazini

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Taratibu wewe wengine tuna my wife humo tafadhari bana!
 
Ni namna nzuri maana akitoka kazini anakwenda kubofya WhatsApp kwake sio kazini foleni ndefu ana chat na watu wake huku anasema mtandao ha kuna.

Unajua suluba za benki ama unabwabwaja tu! Mtu anakaa mbagala anafanya kazi mikocheni anatoka kazini saa 12 jioni ni wasapu gani unayosema wewe?
 
Wasipewe kabisa na wapige marufuku kutumia simu wakati wa kazi. Mtu upo kazini simu ya nini? Na ndo wanazotumia kuwasiliana na majambazi kama mtu kaja kuchukua hela nyingi

Kwa mfano mkeo/mumeo kagongwa na gari na kavunjika mbavu nne so asubiri hadi jioni au? Una akili wewe timamu? Au nikuulize hivi...wewe umeoa? Hujiskii vibaya ukimaliza masaa mawili bila my wife wako kusema angalau hello! Hizo hela mshaambiwa tumieni TT nani anatembea na mapesa kiasi hicho acha umatumbi wewe
 
Itasaidia sanaaaaaaaaaa..

Halafu itasaidia nn sasa? Wewe unaendaga bank mara ngapi na kufanya nn? Mie huu mwezi wa pili sijaenda natumia online banking na debit card! Ni ulofa sana kudhani simu ndio kigezo cha performance
 
Halafu itasaidia nn sasa? Wewe unaendaga bank mara ngapi na kufanya nn? Mie huu mwezi wa pili sijaenda natumia online banking na debit card! Ni ulofa sana kudhani simu ndio kigezo cha performance

Kumbe huendi bank ndio maana huoni kadhia ya smart phone za bank staff kwa wateja. Si kila mtu ana access na online banking na debit card kama ww mkuu. Knowing kwamba wao ni binadamu wana dharura stimes ndio maana watapewa simu za kawaida but si kuchat fb., ig na kwingineko wkt wateja kibao wapo mbele yako!
 

Hapo sawa, sio mseme eti mmewapiga ban kabisa,,,patachimbika aisee mi nna my wife wangu bank mkuu!
 

Wewe hossam umewekwa ndani na huyo mwanamke wako anayefanya kazi bank ndo maana kila saa unataka kuchat nae. Mimi nafanya kazi na mchumba wangu anafanya kazi hivyo na wakati wa kazi hatutumii simu na kazi zetu sio za kuudumia wateja kama bank. Fikilia hiyo unayosema ajali ikitokea kwa nduguyo ukaenda hospital ukakuta doctor na manesi wako busy na simu zao wanakwambia usubili utalalamika? Maana my wife wako anawafanyia wengine hivyo labda wanaitaji hela kwenda kulipia kitu kwa muda huo huo
 

Tunahitaji mtu anayeweza kufikiria kama ww! Nahisi hii ni comment ya kufunga huu mjadala!
 

Sijibizani na vichaa! Kama wewe na mkeo hamchat basi mna problem! Unagegedewa ujue. Lazima hapa tuelewane ukileta dharau nakutukana matusi ya nguoni nile ban!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…