CRDB kupiga marufuku smartphone kwa wafanyakazi wake.

Hapa simu lazima na nakomaa hadi mwisho
 
Mi my wife wangu yumo mle halafu unaleta mambo ya kupiga cm ban...we b.o.y.a nn?
 
Mi my wife wangu yumo mle halafu unaleta mambo ya kupiga cm ban...we b.o.y.a nn?

Hossam tafuta kazi bwana mdogo huyo demu anayekuweka ndani siku akikuchoka ndo utajuta kama sio kushikiswa ukuta
 
Afadhali maana wamezidi..siyo kwenye bank tu wangefanya hata kwenye maofisi yote maana unaeza ukakaa kwenye foleni ya huduma eti kisa mtoa huduma anaji..chatishaa
 
Kupiga marufuku na utekelezaji (enforcement) ni vitu viwili tofauti. Tusubiri tuone kama uamuzi huu utatekelezwa.
 

Wanaogopa yale mambo ya kushirikiana na waendesha pikipiki ziiiileeee kwa whatsapp nini? Kwamba fulani ame draw kiasi fulani sasa hivi...
 

Hahahahahahaha wewe jamaa bana unavituko kweli mlikua wa unyama kbsa kama ngedere hahahahaha eti unahasira sana Leo nani kaukudhi hahahahaha some people very funny
 
Nina kila sababu ya kubank na nyie..hatua nzuri sana
 
Hii imekaa vizuri, sio bank tu hata maeneo mengine ya huduma nyeti kama hospitalini hasa hizi zetu za mtoto wa Mkulima, balaaa

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Jambo jema sana hili nina uhakika na taasis zingine wataiga,hizi simu sahivi ni kero sana kuanzia nyumbani,maofisini mpaka kwenye vikao tu hata vya familia mnaongea mambo ya msingi kabisa huku pembeni mtu yuko busy whatsap ..ulimbuke shida sana kwa wabongo
 
Hela zangu nahamishia huku kesho natafuta lile li tembo kadi lao
 
Wasipewe simu, mbona migodini watu hawaingii na simu
 

Mkuu,,,inaonekena umekasilika kweli kweli,,au my YF wako nimiongoni mwa wanaowasongesha waTanganyika misururu mireefu,,,,! Sababu yakuchart naww mkisalimiana LUNCH siinatosha? au km vp ajiaajili mwenyewe mnaweza kupiga gumzo tangu afungua ofisi hadi jua linazama hakuna mtu atalalamika manake hata wateja watakaokuja wakimkuta bz na CM muda wt hawatalalamika baada ya muda mtaangalia mafanikia yake,,,,!! Lkn kwenye kz za watu cdhani km nizvr sana kiukweli watu wa BANK wanaBORE,,,,!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…