Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakumbuka waziri ngeleja aliwahi kusema mgodi umerejeshwa serikalini kumbe ni uongo!mgodi upo chini ya ufilisi wa crdb,pspf,nssf jumla 29bilion wanadaiwa kiwira coal and power project!source nipashe leo uk wa 3
Ni serikali iliyojaa usanii ikilindwa na ugumu wa kupata siri zake, siku ikitokea vichaa idara fulani imekwisha kabisa. Bofya hapa kwa habati kamili.:: IPPMEDIAnakumbuka waziri ngeleja aliwahi kusema mgodi umerejeshwa serikalini kumbe ni uongo!mgodi upo chini ya ufilisi wa crdb,pspf,nssf jumla 29bilion wanadaiwa kiwira coal and power project!source nipashe leo uk wa 3
nakumbuka waziri ngeleja aliwahi kusema mgodi umerejeshwa serikalini kumbe ni uongo!mgodi upo chini ya ufilisi wa crdb,pspf,nssf jumla 29bilion wanadaiwa kiwira coal and power project!source nipashe leo uk wa 3
Ipo siku tutakuwa tunaona aibu kujitambulisha kuwa ni Watanzania.
Hahaha unamchokoza spika?ha ha ha ha!
Mi nishaanza kuona hiyo aibu. Duh!
Hivi sheria inasemaje kuhusu mtu anaesema uongo?