Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,278
Greetings,
Binafsi nilifungua malkia account kwenye bank ya crdb ambayo kila mwezi nilitakiwa kuweka elfu 50. Kutokana na sababu za kuumwa nilishindwa kuendelea kuweka hela km ilivyotakiwa. Kwa kuwa vyuma vimekaza nimeona niende bank wanipatie kile kiasi nilichoweka. Je kwa uzoefu wenu nitapatiwa zile hela japo kidogo nilizoweka kwa accuunt hii ya malkia?
Binafsi nilifungua malkia account kwenye bank ya crdb ambayo kila mwezi nilitakiwa kuweka elfu 50. Kutokana na sababu za kuumwa nilishindwa kuendelea kuweka hela km ilivyotakiwa. Kwa kuwa vyuma vimekaza nimeona niende bank wanipatie kile kiasi nilichoweka. Je kwa uzoefu wenu nitapatiwa zile hela japo kidogo nilizoweka kwa accuunt hii ya malkia?