CRDB mbona mnataka kugeuka SACCOS

CRDB mbona mnataka kugeuka SACCOS

ze farmer

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
922
Reaction score
1,804
Kwa hali isiyokuwa ya kawaida hawa jamaa wameanza sound zisizo na maana. Mnamo tar 2/01/2020 niliomba kadi mpya baada ya ile ya awali kuisha muda wake.

Baada ya kujaza form na kukamilisha taratibu zote nikaambiwa njoo tar 8 kuchukua kadi mpya.

Na ikumbukwe nilipo na sehemu ya kuchukulia kadi ni kama mwendo wa masaa 6.5 (kwenda-kurudi) na gharama ya shilingi 10,000 kama nauli toka chakula na muda nao poteza.

Kila nikienda naambiwa njoo siku 4 zijazo itakuwa tayari imetengenezwa ila cha ajabu mwendo ni ule ule tu.

Na nilijaribu kuongea na yule muhudumu wenu (mdada) anipe namba hata ya ofisi niwe nauliza incase imefika nije nichukue ila alikataa sasa sijui shida ni yeye au ndo utaratibu.

Haya mnayofanya hata SACCOSS hawafanyi hivo. Kupewa kadi mpya miezi miwili na mnamzungusha mtu unnecessarily hata hamuoni haya. Mnatengeneza faida kubwa ila mjue sisi ndo tunawapa kiburi.

Kama hamuwezi kutoa semeni tu sasa hivi tunahangaika na mambo mengine suala la kadi sio kipaumbele chenu.

Next week naenda tena kazi yangu ni moja tu, kupewa kadi mpya au kutoa balance yangu niweke MPAWA.
 
Usi Deal nae uyo jamaa, ana stress za maisha mshahara wake 150,000/= hauvuki ndio maana anadhani bank unahamahama tu kama mitandao ya simu.
We fala tulia. Mimi ninahela huku naweza lisha ukoo wenu miaka 100 na nikabaki na chenji. Huwezi hama benki kamunahama bar mkuu tumia akili sio ma***ko

“portfolio worth 1.5 millions/month | 2020”
 
We fala tulia. Mimi ninahela huku naweza lisha ukoo wenu miaka 100 na nikabaki na chenji. Huwezi hama benki kamunahama bar mkuu tumia akili sio ma***ko
mtu mwenye hela zake hawezi andika maneno mengi analalamikia kadi ya benki, ungetumia hata internet banking.
huna mambo ya msingi ya kufanya mkuu
acha dharau kwa wenzio.
shukuru benk inakusadia kufika mjini
 
m december niliomba mastercard nlipoenda kuchukua kadi yangu nikakuta wametengeneza tembo card nlipouliza nikaambiwa material za mastercard zimeisha...nikachukua kadi yangu nikaendelea na mishe zangu
 
Ila kweli hizi local bank zetu zinazingua sanaa, ni ngumu kuhama ila ungeweza ningekushauri uje Stanbic huwezi jutia hawa jamaa wa standard Group.
 
We fala tulia. Mimi ninahela huku naweza lisha ukoo wenu miaka 100 na nikabaki na chenji. Huwezi hama benki kamunahama bar mkuu tumia akili sio ma***ko
1580835303978.png
 
Usi Deal nae uyo jamaa, ana stress za maisha mshahara wake 150,000/= hauvuki ndio maana anadhani bank unahamahama tu kama mitandao ya simu.

“portfolio worth 1.5 millions/month | 2020”
1580835435426.png
 
We fala tulia. Mimi ninahela huku naweza lisha ukoo wenu miaka 100 na nikabaki na chenji. Huwezi hama benki kamunahama bar mkuu tumia akili sio ma***ko
Pole sana una pesa na BM hakujui. Angekujua ungetritiwa as corporate customer, officers wangekuja tu ulipo.
 
Ninachokifaham kuhusu kadi hufika baada ya wiki na uongoz w bank wanakupigia simu uende kuichukua kadi yako kwamba iko tayar.Labda huduma zimatofautiana tawi na tawi ila hapa Morogoro ushuhuda ni huwa wananipigia simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo tatizo hata mimi limenikumba, wiki ya 2 sasa nimeenda hapo branch yao ya Azikiwe wanasema kadi bado nikawauliza tatizo ni nini wanasema mashine ya kutengenezea kadi imepata hitilafu wakanipa wiki 2 nyingine mbeleni hiyo inaonekana hawako serious.

Wakati niko hapo nikasikia mwingine nae anawalalamikia kakaa mwezi mzima kadi bado.
Kwa hali isiyokuwa ya kawaida hawa jamaa wameanza sound zisizo na maana. Mnamo tar 2/01/2020 niliomba kadi mpya baada ya ile ya awali kuisha muda wake.

Baada ya kujaza form na kukamilisha taratibu zote nikaambiwa njoo tar 8 kuchukua kadi mpya.

Na ikumbukwe nilipo na sehemu ya kuchukulia kadi ni kama mwendo wa masaa 6.5 (kwenda-kurudi) na gharama ya shilingi 10,000 kama nauli toka chakula na muda nao poteza.

Kila nikienda naambiwa njoo siku 4 zijazo itakuwa tayari imetengenezwa ila cha ajabu mwendo ni ule ule tu.

Na nilijaribu kuongea na yule muhudumu wenu (mdada) anipe namba hata ya ofisi niwe nauliza incase imefika nije nichukue ila alikataa sasa sijui shida ni yeye au ndo utaratibu.

Haya mnayofanya hata SACCOSS hawafanyi hivo. Kupewa kadi mpya miezi miwili na mnamzungusha mtu unnecessarily hata hamuoni haya. Mnatengeneza faida kubwa ila mjue sisi ndo tunawapa kiburi.

Kama hamuwezi kutoa semeni tu sasa hivi tunahangaika na mambo mengine suala la kadi sio kipaumbele chenu.

Next week naenda tena kazi yangu ni moja tu, kupewa kadi mpya au kutoa balance yangu niweke MPAWA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom