kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Mteja anapokea fedha kwenye accounts yake fedha zinafika na kusoma lakini mteja hawezi kutoa.
Mteja anafanya muamala, m.f, anatuma hela kwenda kwenye mtandao wa simu, ombi linapokelewa na kushughulikiwa hakuna feedback kama imefanikiwa au la.
Mwingine anafanya muamala wa kutuma, hela inatoka na haifiki kwa mpokeaji.
Customer experience kwa hii benki ni hovyo kabisa. Hovyoo!!
Mteja anafanya muamala, m.f, anatuma hela kwenda kwenye mtandao wa simu, ombi linapokelewa na kushughulikiwa hakuna feedback kama imefanikiwa au la.
Mwingine anafanya muamala wa kutuma, hela inatoka na haifiki kwa mpokeaji.
Customer experience kwa hii benki ni hovyo kabisa. Hovyoo!!