CRDB MLIMANI CITU MMEKUWA KERO

CRDB MLIMANI CITU MMEKUWA KERO

Selwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
583
Reaction score
590
Hivi Jamani ni mimi mwenyewe napata shida crdb hii ya mlimani city, nimefanya hapa biasha zangu kuanzia 2011 ila naona mwaka huu kama service ni mbaya mnooooo mnooo. kutoa hela kwenye account nashindwa kufunga account ni procedure yani ni tafrani. customer service desk ni mbovu mteja unasubiri masaa mawili uhudumiwe na bado unapewa majibu ya ajabu na wahusika hawana msaada kabisa.kwa kweli nimesikitika. Pili wamebadilisha wafanyakazi woote kwahiyo hawa WAGENI hawakupi ata service nzuri yeyote yani ni tafrani hivi kweli Huyu Maggid kaka kujenga au kuibomoa hii benki mbona hovyo sana. kibaya zaidi tulikuwa kama watatu tunaotaka kufunga account....kama mkurugenzi mtendaji utasoma hapa tuma watu wako asimamie watu wako wa hapa mlimani uone jinsi wateja tunavotaabika. mimi ni mteja kama siwezi toa hela kwenye account yangu kwasababu za kijinga ambazo hata hamsaidiii kupata supu solution ni kuhama benki na tumehama wengi hatuwezi tusumbua wateja hivi
 
Mliman CRDB Ni takataka hovyo kabisa kwanza wanadharau customer care mbovu, pale mliman kama leo ijumaa huwez kuta wafanyakazi kabisa, tawi lingine lenye huduma mbovu ni pale lumumba ushirika tower hawajali wateja kabisa.

Sahv huwa naenda tawi la VIJANA Lumumba wana huduma nzuri sana mpaka unajiuliza kwani hii sio CRDB?

Good news nimehamia NMB sahivi
 
Back
Top Bottom