Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Mikopo isiyo na RIBA Ni mikopo ya Halmashauri tu.Yaani anakopa 2M anarudisha 2M? Hebu nifahamisheni kwa mifano.
Kwamba crdb inashirikiana na serikali ya mapinduzi znz kutoa Mikopo isiyo na riba... Maana yake serikali ndo inatoa 'ruzuku' kwa kulipa riba za hiyo Mikopo ya crdb.Hii imekaaje wadau naona imekaa kibaguzi sana,ina maana sisi Tanzania bara hatuna uhitaji na hiyo mikopo au? Zanzibar ni wa muhimu sana kwenu kuliko sisi? Au Zanzibar ni masikini sana mmeamua kuwapa upendeleo?
Kila siku wajasiriamali wanalia kuhusu riba lakini mmeweka pamba masikio.
Kama swala ni imani kuwa hakuna riba bhasi kaeni hivyo hivyo bila kufungamana na upande wowote
View attachment 2118030
View attachment 2118031
Usijali wanaanza Zanzibar as pilot area. Mambo yakiwa mazuri itasambaa nchi nzima.Hii imekaaje wadau naona imekaa kibaguzi sana,ina maana sisi Tanzania bara hatuna uhitaji na hiyo mikopo au? Zanzibar ni wa muhimu sana kwenu kuliko sisi? Au Zanzibar ni masikini sana mmeamua kuwapa upendeleo?
Kila siku wajasiriamali wanalia kuhusu riba lakini mmeweka pamba masikio.
Kama swala ni imani kuwa hakuna riba bhasi kaeni hivyo hivyo bila kufungamana na upande wowote
View attachment 2118030
View attachment 2118031