Ila APP ya crdb ipo smart sana. Yaani unavutiwa kuitumia muda ote. Kwanza ni nyepesi pia ipo wazi yaani unaitumia bila kua na shaka, sijui imegoma au hofu kua labda nimetuma mala2.!! Hutumii MB nyingi hatakama upo sehem yenye network ya shida/kijijini.
kama ipo kwenye marekebisho basi wasiihalibu ule usmart wake.