Emaster037
Member
- Mar 24, 2018
- 24
- 6
Nimebadirisha cm najarbu kuingia kwenye hii cm mpya ingaoma inasema hyo namba imeahatumika Nifanye msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipata tatizo kama lako nikaenda tawi la karibu na mimi wakatatua.Nimebadirisha cm najarbu kuingia kwenye hii cm mpya ingaoma inasema hyo namba imeahatumika Nifanye msaada
Yupo sahihi. Hata mimi nilibadili simu nikapata tatizo hilo.umebadili simu au ume-renew line!? maana kwa ninavyojua uki-renew line ndio huwezi kuwa na access na hiyo huduma hadi ujisajiri upya.. ila sio kubadili simu!
Sio kweli,kama umeswap lain upya ndo tatzo lakin sio simu,,ss swal la kijiuliza tu ili usionekane kilaza,pale unapoanzisha huduma hii ka5ika simu yako je unawekaga namba za simu au model ya simu?Yupo sahihi. Hata mimi nilibadili simu nikapata tatizo hilo.
Nimeshaenda mpka kwenye tawi lao apa kahama lkn wameshidwa kunisaidiaNilipata tatizo kama lako nikaenda tawi la karibu na mimi wakatatua.
Ebu Nambie Walifanyeje au ndo mpka wao ndo waingie kwenye system zakoNilipata tatizo kama lako nikaenda tawi la karibu na mimi wakatatua.
Hyo apo screen shot yaani nilifanya kubadili cm2 sio ata lain ndo inagoma kuingia tenaSio kweli,kama umeswap lain upya ndo tatzo lakin sio simu,,ss swal la kijiuliza tu ili usionekane kilaza,pale unapoanzisha huduma hii ka5ika simu yako je unawekaga namba za simu au model ya simu?
Hii sio huduma ya mkopo wa tala ndo wana utaratib huo wa kuuliza simu gan unatumia na ukibadili simu wanakuambia kbsa namba yako haiendani na namba ulioisajili mpk uib maswali tena upya.. Ila sim banking ni namba yako tu ya lain ya simu..
😀😀😀 you are bad!umebadili simu au ume-renew line!? maana kwa ninavyojua uki-renew line ndio huwezi kuwa na access na hiyo huduma hadi ujisajiri upya.. ila sio kubadili simu!
Hapana nilijaza form halafu nikabadilisha passwords basi nikajaribisha ikafanya kaziEbu Nambie Walifanyeje au ndo mpka wao ndo waingie kwenye system zako
Halafu unajua unavyobisha tatizo ambalo limempata mwenzio bila kumsikiliza unakuwa mtu wa ajabu sanaSio kweli,kama umeswap lain upya ndo tatzo lakin sio simu,,ss swal la kijiuliza tu ili usionekane kilaza,pale unapoanzisha huduma hii ka5ika simu yako je unawekaga namba za simu au model ya simu?
Hii sio huduma ya mkopo wa tala ndo wana utaratib huo wa kuuliza simu gan unatumia na ukibadili simu wanakuambia kbsa namba yako haiendani na namba ulioisajili mpk uib maswali tena upya.. Ila sim banking ni namba yako tu ya lain ya simu..[/QUOTE
.