Hilo la Tanzanite Account Mimi silijui ila ninachojua CRDB wana mapungufu mengi sana kwa mfano limoja naomba kama kuna anayebisha basi awasilia na mimi kwa maelezo zaidi kup[itia
kitalolo@gmail.com hawa jamaa huku mikoani unaaply Tembo kadi iwe ya kawaida au visa kuipata inachukua mwaka mmoja mimi tangu mwezi wa tisa hapa arusha nasubiria kabi eti siwezi kutumia ATM mpakasasa yaani hapo tangu ni apply ni miezi saba sasa imepita nilichukua mwaka mmoja hapa arusha kufungua akaunt yangu ya biashara mpaka nikapoteza kazi kwasasa pesa ilikuwa zilipwe kupitia hiyo akaunt ambayo ilikuwa na jina la kampuni eti kipindi chote hicho walikuwa wanafanya mawasiliano na makao makuu ambayo ni dar sijui kama bwana kimei anajua hilo bado inaniudhi kwavile bado ninabenki nao ila kwasa nimekwishafungua ac zangu nyine bank nyingine si unajua mambo ya soko uria?? sasa hii kama ningeweza kupata mawasiliano na bwana kimei ningemwekleza mambo mengi san ambayo nafikiri yangeweza kuisaidia kuborehs benk hii najua huko juu hawajui matatizo yaliyopo huku chini tafadhali kama kuna mmoja anaweza nitumia mawasiliano ya kamao makuu ili niweze kuwajulisha hili