Pia kuna information nyingi kuhusu hizi VISA za CRD on the following links kuhusu malipo security etc etc. Nami nilikuwa na tatizo kama lako nikapata elimu toka huku
https://www.jamiiforums.com/busines...pal-and-moneybookers-with-crdb-visa-card.html
https://www.jamiiforums.com/jf-loun...pal-to-send-money-through-a-crdb-account.html
https://www.jamiiforums.com/busines...sa-card-utata-wa-matumizi-yake-mtandaoni.html
Ukimaliza pitia hizo threads moja kwa moja maseali yako yatajibiwa na zaidi.
By the way unayo card mpya za CRDB? coz hilo ni la msingi. Kwa kuwa security numbers (namba tatu) kwenye kazi za visa za zamani hazipo. So hata kama uko activated bado hutaweza kufanya payments.
Mkuu Shapu
asante kwa useful comment naona zinajitosheleza