Msema yote
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 448
- 299
- Thread starter
-
- #21
Kaka unakosea......hii product bado ni changa apa kwetu Tanzania nikimaanisha aina mwaka,ivyo matatizo ya ela kutomfikia mlengwa muda muafaka au kutokufika yapo ila in long term yatapatiwa ufumbuzi.hii product ni mapinduzi makubwa and its an african born technology.........Benki aina haja ya kukuibia cjui laki mbili zako au elfu hamsini
Mpaka sasa masaa 24 yamepita ila sijapata pesa na kwenye akaunti kiasi nilicho toa hakimo
Ulihamisha saa ngapi? Make muda mzuri ni kuanzia asubuhi saa mbili hadi jioni. ukihamisha usiku inatokea hivyo na ukiwailiza wanakuambia systeam inakua imezimwa. ila utarudishiwa tu. make mimi mara zote ilirudishwa. na hizo namba usipige muda ambao sio wa kazi make hupati mtu.
...Niweke wazi tu kwanza mimi ni Mteja wa CRDB kama wewe Mkuu.Kuna maswali kadhaa ya kujiuliza kabla huja-panic sana kuhusu hili:
Je hii ni mara ya kwanza kuitumia hiyi huduma?
Kama sio mara ya kwanza, ina maana huko nyuma umeishawahi kuitumia na hukupata matatizo yoyote sio??
Maelezo yako ni kama unaunganisha kupotea pesa zako na kukatwa simu yako inapojibiwa, lakini elewa kuwa huo utakuwa ni uzembe wa huyo mpokea simu tu na si kwa sababu anajua kuwa umeibiwa na hivyo hataki hata kusikia unachotaka kusema! Fahamu Mpesa na Switchboard ni sehemu mbili tofauti.
Mimiimeishawahi kunitoke mara 2 hali ya kutuma pesa isiingie kwenye simu yangu lakini iwe imeondolewa kwenye accaount yangu ya CRDB.
Hiyo mara ya pili ilichukua karibu masaa 16 kupata hela yangu kuanzia jumamosi saa 11 jioni hadi jumapili saa Tano mchana!
Jema ni kwamba nilifuata taratibu hizo hizo ulizofuata wewe na bahati njema zaidi ni kuwa mimi nilipokelewa kwenye hizo namba unazosema na kuelezwa kuwa kuna mtu alighafirika na kusahau kufanya alichotakiwa kufanya ili hela ihame!
Waliomba radhi kwa hilo na nikakubali yaishe kiungwana.
Naamini hela yako ipo.
Kazana kupiga hiyo namba ama ukiona vipi sogea kwenye tawi lolote la CRDB lililo karibu nawe ueleze madhila yako na ninaamini utapata Uchache (Wingi????) wako!
Utujulishe Kitakachoendelea.
Pole sana Mkuu.
...HAWA CRDB SASA WAMANICHEZEA.
Toka jana nimefatilia mpaka leo sijapata kila nikienda naambiwa niwe mvumilivu sasa leo tena nimekwenda naambiwa niende kesho hivi huu si ni wizi wa mchana kweupe,
SASA NAHITAJI KUWASHITAK KWA UBADHILIFU WALIONIFANYIA HIVO NAOMBENI MSAADA WA KISHERIA WAKUU NIANZE VIPI KUWAFUNGULIA KESI
MAONI YENU NI MUHIMU SANA KWANGU ASANTENI,
Hamieni benki ndogo ndogo zina nidhamu na wateja!
Hawa wakubwa kiburi na wafanyakazi wao ndio balaa!
Hamieni benki ndogo ndogo zina nidhamu na wateja!
Hawa wakubwa kiburi na wafanyakazi wao ndio balaa!