CRDB wamekuwa ovyo sana

CRDB wamekuwa ovyo sana

Selwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
583
Reaction score
590
Nsekela kama kazi imekushinda acha. Crdb wamekua hovyo sana jamani. Customer service unapiga unasubiri dakika 10 kuongea na mhudumu. Hela zinatolewa kwenye account hazirudi ukipiga simu kureport hamna majibu wala msaada aise. Leo rasmi nimehama benki.

Naomba kwa usalama wako msiweke pesa crdb. Zikipotea hamna majibu ma hamna ataekusaidia.
 
Sepa hata ukiama hawatajua umeama. Sw
 
Wamekua ovyo sana..m nmesubiri dk 15 hawapokei..af CK ya jumatatu Jana..nmewatumiaa sms Instagram hawajibu...ovyo Kabisaa awaa
 
Nimetembelea jiji la Tanga leo, CRDB ATM za matawi yao hazitoi huduma wala huwezi kutumia VISA kadi kupata huduma kwenye ATM za benki nyingine
 
Back
Top Bottom