CRDB wameniibia Zaidi ya Tsh 200,000

CRDB wameniibia Zaidi ya Tsh 200,000

Kuna nchi huduma za bank kupitia mobile operators zimejengewa mazingira ambayo haziwezi kuendeshwa, na badala yake watu wanakuwa na trust na mabenki tu
Si kila mahali kuna bank. Na ukikuta benki foleni yake mpaka kero, unasimama masaa matatu ili uweke sh 10,000
 
Biashara ya hela kufanya bila risiti au kithibitisho ni hatari c kwa cmu banking tu bali hata kwa wanaodraw hela atm bila kuchukua receipt,mtalia yalinikuta csahau
Uctumie mpesa sababu huna receipt na n wachache wanaotunza sms pia atm kumbuka receipt walioweka hvyo c wapumbavu shortcut znaponza ndg zanguni
Asante kwa ushauri
 
duh, pole.Inabidi hizi huduma zisitishwe.Zitachangia wizi hizi...

Ni kweli kabisa mkuu,nimewapigia simu wananambia ya jana iliingia.. nikawaambia kama ya jana iliingia nisomee statement yangu tangu tarehe 25,akasema hakuna zaidi ya hiyo ya jana...
Mh nikamwambia jamaa hebu cheki tarehe 26 pia niliweka Elfu 50..anajibu ooh kama ni tarehe 26 itaingia leo,itaingia leo kivipi na nilipoweka hiyo tarehe 26 salio liliongezeka??? ooh system zinasumbua..
Yaani ni majanga matupu.
 
Kuna wizi, nafikiria kufungua kesi mahakamani.Mashahidi ni M-pesa

Ila kama umejaza complaint form huwa inachukua siku 45. tatizo ni kama kuna jambo la msingi na dharula mfano kununua dawa za mgonjwa aliyezidiwa alafu inatokea mizinguo ya staili hizi inakuwaje? Kampuni husika zinawajibika vp?
 
Back
Top Bottom