CRDB wiki mbili hawajaingiza mkopo

CRDB wiki mbili hawajaingiza mkopo

Hawa CRDB hovyo kabisa, nina mwezi Sasa mkopo siuoni, taratibu zote nimekamilisha.

Hii Benki sasa imekuwa ya hovyo na inawezekana imefilisika. Ofsa mikopo hapokei simu. Sijui wanaandaa mazingira ya Rushwa. Crdb

Hivi humu ndani hakuna dawati la malalamiko kama ilivo @NMB Tanzania ili waione hii post
 
Back
Top Bottom