Chanzo chake ni salary....inakatwa kodi zote stahiki ikiweno nssf....ukiwa mjanja uombe nssf isiwekwe/ isikatwe....la sivyo unajya kuzipata shida.....kila earning hukatwa kodi mekuuuSikuwahi kujua kama serikali hukata kodi tuzo za mahakama.
Hawa nao wanapiga jaramba au 😀
What if CRDB wakagoma kulipa hicho kiasi cha fedha kwa mlalamikaji? Wanasheria wabobevu majibu?
Amekula bingoMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeiamuru Benki ya CRDB kumlipa fidia ya Sh300 milioni Zawadi Bahenge kwa kutumia picha yenye sura yake kwenye matangazo ya kibiashara bila ridhaa yake.
Pia mahakama imeiamuru benki hiyo kuondoa picha zote za balozi huyo wa Tacaids kwenye mabango yake ya kibiashara yaliyosambazwa nchi nzima.
Mahakama imefikia uamuzi huo katika hukumu iliyotolewa jana Aprili 30, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim Mushi, katika kesi ya madai aliyofungua Bahenge dhidi ya benki hiyo akiilalamikia kwa kutumia picha yake kwenye matangazo ya kibiashara katika kampeni ya ‘Tupo kuijenga biashara yako’ bila ridhaa yake.
“Ifahamike kutumia picha ya mlalamikaji kwenye matangazo ya kibiashara umeingilia faragha yake bila ya ridhaa yake,” amesema Hakimu Mushi katika hukumu hiyo na kuamuru.
View attachment 2978528
Wakili wa kujitegemea, Ferdinand Makole akiwa na Zawadi Bahenge baada ya kutolewa hukumu ya kesi ya madai ya CRDB kutumia picha ya mteja wake (Bahenge) bila ridhaa yake.
Huo ni mchezo unatengenezwa na watu waliomo ndani ya taasisi zinazo shitakiwa au wakishirikiana na kampuni za kuandaa matangazo ya biashara kwa niaba ya hizo taasisi.Kwanini ni yeye tu dhidi ya makampuni makubwa nchini?
Ila mtu kutumia nembo ya Simba sio kosa ?Haiwezekani mamlaka ya juu ya benki ipo, mabango yakasambaa nchi nzima bila mamlaka za juu za benki kuyaona na kujiuliza yametoka wapi, nani kayalipia, kayaidhinisha.... Kuna mwanasheria wa CRDB, kitu kama hiki lazima kipitie kwake.......MWANASHERIA....... hajui kuwa kutumia sura/jina la mtu katika biashara ni kosa... Kuna internal arrangements zilihusika kufanya haya na kumwambia binti kadai fidia mahakamani.........
Yaani benki wanakaa na kuona picha ya binti na kuamua kuiweka kwenye matangazo, basi likapita..... common ens e and intuition does not support that!