CRDB yaamuriwa kumlipa Zawadi Bahenge milioni 300 kwa kutumia picha yake kwenye matangazo bila ridhaa

Amekula bingo
 
Kwanini ni yeye tu dhidi ya makampuni makubwa nchini?
Huo ni mchezo unatengenezwa na watu waliomo ndani ya taasisi zinazo shitakiwa au wakishirikiana na kampuni za kuandaa matangazo ya biashara kwa niaba ya hizo taasisi.
Yupo jamaa yangu marehemu kwa Sasa alikuwa anapewa dili na wafanyakazi wa kampuni fulani kubwa ya mawasiliano (simu) anafungua kesi za madai wamejenga mnara wa simu kwenye eneo lake.

Yeye mkazi wa Dar wanamlimpia nauli na hotel aende kuhudhuria kesi Mtwara, akishinda wanampa ya mboga nyingi wanakula wenyewe.
 
Ila mtu kutumia nembo ya Simba sio kosa ?
Sio kwa ubaya nauliza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…