ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wanakamata mali......au wanKwenda ku attach account ya CRDB .......BOT wanatoa pèsa yaoWhat if CRDB wakagoma kulipa hicho kiasi cha fedha kwa mlalamikaji? Wanasheria wabobevu majibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakamata mali......au wanKwenda ku attach account ya CRDB .......BOT wanatoa pèsa yaoWhat if CRDB wakagoma kulipa hicho kiasi cha fedha kwa mlalamikaji? Wanasheria wabobevu majibu?
......kuna kodi gani zaidi ? Ya kanisaniKodi ya serikali ?
Ukiona figure 300m unapagawa.....Potelea pote 120m ni hela nzuri bado
kwa hiyo wateja wa CRDB wasishangilie hii hukumu,anayemlipa Zawadi ni wao,CRDB hawaumii chochote ndivyo unamaanisha sio?Hapo crdb wakikata 2000 kwenye Kila account kimya kimya si itakuwa imefika Milion 300
Yeshapitwa na wakati. Amnunulie japo kishikwambi.Zawadi akipata hiyo pesa amnunulie wakili wake fil
Zawadi akipata hiyo pesa amnunulie wakili wake file jipya Kwanza. Super!!!
Tena kwa haraka sanaHapo crdb wakikata 2000 kwenye Kila account kimya kimya si itakuwa imefika Milion 300
Ndio maana nchi hii ikapewa aka bongo kila mahali ni upigaji tuuHiyo huwa ni michongo mzee
Safi sana...upo deep mkuu hongera..Wanakamata mali......au wanKwenda ku attach account ya CRDB .......BOT wanatoa pèsa yao
Manukta watayablock soonDuh watu na bahati zao
..........................................................
Crdb huwa Wana vendors wa.kutoa huduma, hapo aliyewaingiza cha kike ni vendor wao wa matangazo.Ni ajabu kosa kama hilo kufanywa na bank kubwa kama Crdb
Ndio maana nchi hii ikapewa aka bongo kila mahali ni upigaji tuu
Hiyo hela ni nyingi sana! Milioni 20 au 30 ingetosha. CRDB wakate rufaa kiasi cha pesa kipunguzwe. Sijui vigezo gani vilitumika hadi Mahakama iamue huyu mama ntilie alipwe milioni 300. Halafu kumbe ndiyo mchezo wake. Lione linavyochekelea. Hakuna mtu anayemjua huyu kibibi. Hana brand name au brand recognizance kama Alikiba au Diamond Platnumz na hajapata madhara yoyote hadi alipwe fidia ya milioni 300.
Makosa kama haya yanafanywa na makampuni mengi mno hata dakika hii tunavojadili hapa. Unakuta mfanyakazi kaajiriwa kazi ya mapokezi anapigwa picha na kampuni iliyomuajiri kisha kuitumia katika matangazo ya biashara bila ridhaa yake. Sema wabongo wengi tuna ile kusema sina muda.Kwanini ni yeye tu dhidi ya makampuni makubwa nchini?
Sikuwahi kujua kama serikali hukata kodi tuzo za mahakama.......kuna kodi gani zaidi ? Ya kanisani
Acha usenge. Kama huna hoja kaa kimya.Tukiwambia hamna akili mnachukia.