Credibility ya CHADEMA kama chama cha ukombozi imefutwa sasa ni chama cha kuleta hofu na dhahama

Credibility ya CHADEMA kama chama cha ukombozi imefutwa sasa ni chama cha kuleta hofu na dhahama

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.

Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm

Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?

My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
 
Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.

Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm

Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?

My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Unadhan wa Tanzania Wana akili za Samaki kama wewe kushindwa kung'amua uhuni wa Serkali ya CCM kumbambiki Mbowe kesi ya Ugaidi ?
Hapa CCM na Serikali yake wamejipaka Mavi Usoni
 
Kakojoe ukalale bwabwa ww
Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.

Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm

Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?

My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
 
Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.

Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm

Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?

My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Matapeli nyie lazima mtaisha
 
Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.

Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm

Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?

My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Wewe Polepole (mzee wa mavieetee) umehamia Chadema lini bana?
 
Chama kikubwa kama Chadema viongozi wake kuhusishwa na ugaidi ni suala linalotia fedheha kubwa.

Huko nyuma tulikubalika kama chama cha ukombozi. Turejeee miaka ya 2010 kurudi nyuma tulikubalika kama wakombozi wa watanzania dhidi ya mafisadi Ccm

Leo hii tu tunaviongozi wanaopanda vizimbani kama magaidi. Je wananchi watakuwa na imani na sisi kama huko nyuma?

My take: Tuna wakati mgumu kurejesha sifa ya Chama chetu. Tujipange kisawasawa.
Tundu Lisu amewapotosha mengi wakaingia kichwakichwa, hawakutakiwa kuja na move hizo walizo nazo, Tundu lisu akiwa ulaya anataka wenzie wafanya violence na kulazimisha mambo wakati yeye kakimbia nchi, na wao wamemsikiliza. too bad. kwa Samia alivyoanza alikuja vizuri na alitaka mshikamano wao wakamdharau na kutaka kumpelekesha. nashauri mkae chini mfikirie njia bora ni ipi mwende kwa serikali muombe muafaka na kutubu ila mkifikiri kushindana na serikali mtashinda mnajidanganya. wamarekani mnaowaomba msaada hata kule kwao wanapiga watu risasi, askari wao ni wakatili kuliko hata askari wetu, kule hawapigi virungu kama hapa ukifanya mchezo wanapiga risasi ya moto na hakuna anayewaingilia. na wanaouawa zaidi kule ni blacks kama sisi na ninyi mnategemea mzungu aje hapa awapende blacks? hapa wamefuata maslahi yao binafsi ambayo ninyi hamtayajua hadi baadayeee na ni maslahi hayohayo wanatafuta kwa kupachika watu kama kina Tundu ili wakiwa marais waje wayapate, sasa akiwepo mtu wa ccm anayewapatia ninyi mnachinjiwa baharini kama alivyofanywa savimbi tu. fungukeni.
 
Tundu Lisu amewapotosha mengi wakaingia kichwakichwa, hawakutakiwa kuja na move hizo walizo nazo, Tundu lisu akiwa ulaya anataka wenzie wafanya violence na kulazimisha mambo wakati yeye kakimbia nchi, na wao wamemsikiliza. too bad. kwa Samia alivyoanza alikuja vizuri na alitaka mshikamano wao wakamdharau na kutaka kumpelekesha. nashauri mkae chini mfikirie njia bora ni ipi mwende kwa serikali muombe muafaka na kutubu ila mkifikiri kushindana na serikali mtashinda mnajidanganya. wamarekani mnaowaomba msaada hata kule kwao wanapiga watu risasi, askari wao ni wakatili kuliko hata askari wetu, kule hawapigi virungu kama hapa ukifanya mchezo wanapiga risasi ya moto na hakuna anayewaingilia. na wanaouawa zaidi kule ni blacks kama sisi na ninyi mnategemea mzungu aje hapa awapende blacks? hapa wamefuata maslahi yao binafsi ambayo ninyi hamtayajua hadi baadayeee na ni maslahi hayohayo wanatafuta kwa kupachika watu kama kina Tundu ili wakiwa marais waje wayapate, sasa akiwepo mtu wa ccm anayewapatia ninyi mnachinjiwa baharini kama alivyofanywa savimbi tu. fungukeni.
Ametupoteza maboya.
 
Back
Top Bottom