AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Habari magreat thinkers! Jamani kama kuna mtu ana ufahamu jinsi ya kusoma 4m5 na credit 2 and at the same time unatafuta credit 1, je ni kweli baada ya kupata 1 crdt utaruhusiwa kendelea na 4m6? Nahitaji Msaada jamani wa mawazo yenu.