Credit 2" kidato cha tano

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
Habari magreat thinkers! Jamani kama kuna mtu ana ufahamu jinsi ya kusoma 4m5 na credit 2 and at the same time unatafuta credit 1, je ni kweli baada ya kupata 1 crdt utaruhusiwa kendelea na 4m6? Nahitaji Msaada jamani wa mawazo yenu.
 
Habari magreat thinkers! Jamani kama kuna mtu ana ufahamu jinsi ya kusoma 4m5 na credit 2 and at the same time unatafuta credit 1, je ni kweli baada ya kupata 1 crdt utaruhusiwa kendelea na 4m6? Nahitaji Msaada jamani wa mawazo yenu.

Huwezi kuendelea form five mpaka upate credit 3 (credit moja ni "c" au above). Sheria hairuhusu kuingia form 5 na kuendelea kusoma huku ukitafuta credit. usikubali kudanganywa itakucost wakati wa usajili mitihani f6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…