Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Crescentius Magori, ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, ametoa ufafanuzi muhimu kuhusu mchakato wa kubadilisha uraia ili wachezaji waweze kucheza katika Timu ya Taifa ya Tanzania.
Kupitia ujumbe, Magori amesisitiza kuwa wachezaji wenye uraia wa nchi mbili wanapaswa kukidhi masharti magumu yaliyowekwa na FIFA.
Ameeleza kuwa, kwa mujibu wa kanuni za FIFA za mwaka 2020 zinazojulikana kama "wholesale modernisation," mchezaji lazima awe ameishi nchini kwa kipindi kisichopungua miaka mitano, na mzazi mmoja angalau awe raia wa Tanzania, pamoja na vigezo vingine.
Soma, Pia:
- Idara ya uhamiaji yatoa ufafanuzi dhidi ya wachezaji wa kigeni Singida Black Stars, wote ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi
- Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Kupitia ujumbe, Magori amesisitiza kuwa wachezaji wenye uraia wa nchi mbili wanapaswa kukidhi masharti magumu yaliyowekwa na FIFA.
Ameeleza kuwa, kwa mujibu wa kanuni za FIFA za mwaka 2020 zinazojulikana kama "wholesale modernisation," mchezaji lazima awe ameishi nchini kwa kipindi kisichopungua miaka mitano, na mzazi mmoja angalau awe raia wa Tanzania, pamoja na vigezo vingine.
Soma, Pia:
- Idara ya uhamiaji yatoa ufafanuzi dhidi ya wachezaji wa kigeni Singida Black Stars, wote ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi
- Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni