Crescentius Magori afafanua masharti magumu ya FIFA kwa wachezaji waliobadili Uraia ili waweze kucheza Timu ya Taifa

Crescentius Magori afafanua masharti magumu ya FIFA kwa wachezaji waliobadili Uraia ili waweze kucheza Timu ya Taifa

Sasa wee Magori hebu tuambie huyo Kibu Dennis wenu anazaidi ya miaka mitano hapa nchini ? Naj ee ana mzazi hapa TZ ??? Mbona yumo timu ya Taifa ??? N a alishaanza kucheza siku nyingi tuu !Acheni ujinga !!!
Mbona umeandika upambavu apa,...fanya research kwanza yakitu unachotaka kuandika kabla ya kuropoka punguan wahid..
 
Tff ilipopewa msomali Kuna watu walionya Sasa anaendekeza ujinga kwa kushirikiana na wajinga wachache walioko kwenye siasa.
 
Asa wao ndio washika dau waambiane haya kwenye vikao vyao
Team ya taifa imeenda afcon bila hao wageni kwa Nini waone umuhimu wao Sasa kama sio siasa za mpira!?
Aliyesema wanaomba uraia wa Tanzania ili wacheze Taifa Stars nani
 
Sasa wee Magori hebu tuambie huyo Kibu Dennis wenu anazaidi ya miaka mitano hapa nchini ? Naj ee ana mzazi hapa TZ ??? Mbona yumo timu ya Taifa ??? N a alishaanza kucheza siku nyingi tuu !Acheni ujinga !!!
Mzee Kibu Denis umemjua baada ya kuhamia Simba?

Huyo hadi kambi ya wakimbizi ameishi.
 
Crescentius Magori, ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, ametoa ufafanuzi muhimu kuhusu mchakato wa kubadilisha uraia ili wachezaji waweze kucheza katika Timu ya Taifa ya Tanzania.

Kupitia ujumbe, Magori amesisitiza kuwa wachezaji wenye uraia wa nchi mbili wanapaswa kukidhi masharti magumu yaliyowekwa na FIFA.

Ameeleza kuwa, kwa mujibu wa kanuni za FIFA za mwaka 2020 zinazojulikana kama "wholesale modernisation," mchezaji lazima awe ameishi nchini kwa kipindi kisichopungua miaka mitano, na mzazi mmoja angalau awe raia wa Tanzania, pamoja na vigezo vingine.
View attachment 3211734
Soma, Pia:

- Idara ya uhamiaji yatoa ufafanuzi dhidi ya wachezaji wa kigeni Singida Black Stars, wote ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi

- Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
5imba sengi ni mbumbumbu......pumbumbu....wamehamishiwa magoli ya yametanuliwa wamehamishwa ....
 
Usikute unaitwa Abdul ila unamshangaa John.
Wala sishangai. Ni tatizo ambalo wengine tunalo na si sisi tukijipa hayo majina, bali wazazi wetu.
Changamoto ni sisi wa kizazi hiki kuendeleza makosa ya kutelekeza majina yetu ya asili ya jamii zetu na kuwapa watoto wetu Majina ya jamii zingine. Ni kujidharau.
 
Back
Top Bottom