Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Napendekeza isiwe rahisi hivyo kuwapa watu 9 kwa timu moja nadhani siyo busaraBenny Haraba kaka nimesoma comments zako...ila sijakuelewa kuwa unaungana na mada au unaipinga? Yani unawasapport hao wanaowapa uraia wageni au unatushangaa tunaowaona hawajafanya vzr...
Sure..Napendekeza isiwe rahisi hivyo kuwapa watu 9 kwa timu moja nadhani siyo busara
Mbona umeandika upambavu apa,...fanya research kwanza yakitu unachotaka kuandika kabla ya kuropoka punguan wahid..Sasa wee Magori hebu tuambie huyo Kibu Dennis wenu anazaidi ya miaka mitano hapa nchini ? Naj ee ana mzazi hapa TZ ??? Mbona yumo timu ya Taifa ??? N a alishaanza kucheza siku nyingi tuu !Acheni ujinga !!!
Aliyesema wanaomba uraia wa Tanzania ili wacheze Taifa Stars naniAsa wao ndio washika dau waambiane haya kwenye vikao vyao
Team ya taifa imeenda afcon bila hao wageni kwa Nini waone umuhimu wao Sasa kama sio siasa za mpira!?
Bundi wa JijiSawa City Owl, sijajua ID yako kwa kibantu maana yake ni nini
Huwezi kuta hiyo kwenye cheti..Shangaa na mbatu mwingine kujita siti owl
Dogo huwa unajihisi una akili sana! 😁Viongozi wa simba ni watu wa mpira.
Alafu wana Akili sana
Magori amewahi kufanya PSPF.
Amewahi kuwa makamu wa Rais TFF.
UTOPOLO 0
Basi wazungu wametushika pabaya sana!Bundi wa Jiji
Usikute unaitwa Abdul ila unamshangaa John.Mbantu anaitwa 'Crescentius'. Dah, wazungu wametushika pabaya.
Samahani waungwana..nimetoka nje ya mada kidogo.
Mzee Kibu Denis umemjua baada ya kuhamia Simba?Sasa wee Magori hebu tuambie huyo Kibu Dennis wenu anazaidi ya miaka mitano hapa nchini ? Naj ee ana mzazi hapa TZ ??? Mbona yumo timu ya Taifa ??? N a alishaanza kucheza siku nyingi tuu !Acheni ujinga !!!
5imba sengi ni mbumbumbu......pumbumbu....wamehamishiwa magoli ya yametanuliwa wamehamishwa ....Crescentius Magori, ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, ametoa ufafanuzi muhimu kuhusu mchakato wa kubadilisha uraia ili wachezaji waweze kucheza katika Timu ya Taifa ya Tanzania.
Kupitia ujumbe, Magori amesisitiza kuwa wachezaji wenye uraia wa nchi mbili wanapaswa kukidhi masharti magumu yaliyowekwa na FIFA.
Ameeleza kuwa, kwa mujibu wa kanuni za FIFA za mwaka 2020 zinazojulikana kama "wholesale modernisation," mchezaji lazima awe ameishi nchini kwa kipindi kisichopungua miaka mitano, na mzazi mmoja angalau awe raia wa Tanzania, pamoja na vigezo vingine.
View attachment 3211734
Soma, Pia:
- Idara ya uhamiaji yatoa ufafanuzi dhidi ya wachezaji wa kigeni Singida Black Stars, wote ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi
- Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Wala sishangai. Ni tatizo ambalo wengine tunalo na si sisi tukijipa hayo majina, bali wazazi wetu.Usikute unaitwa Abdul ila unamshangaa John.