CRIME STORY: Namna kujichanganya na huyu binti, kunyimwa kolabo kulivyokuwa sababu ya vifo viwili na kukamatwa watu 6 kwa kesi ya mauaji

CRIME STORY: Namna kujichanganya na huyu binti, kunyimwa kolabo kulivyokuwa sababu ya vifo viwili na kukamatwa watu 6 kwa kesi ya mauaji

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
NI STORY YA UTOTO MWINGI NA UPUUZI MWINGI:

Binti anaitwa Jania Meshell
74d815a0f2ad0eac7ad2999bfb432afe.jpg


Alikuwa mpenzi wa rapper anaeitwa nba youngboy na pia alifanikiwa kuzaa nae.
cb91b294253f4b81659264842ee8c8a3.jpg


Baada ya kuwa wameachana. Binti huyu alianza kudate na rapper mwingine ambaye anaitwa king von.
0b8c613b894df492bde7243ca643d3d0.jpg


King von ambaye alikuwa tayari ameanza kurusha diss kwa nba youngboy kwa sababu youngboy alikata mara kadhaa kukubali feature request kutoka kwa king von

Situation ya king von kudate na babymama wa youngboy ilikuza moto wa ugomvi wao.
20241026_081455.jpg


Nba youndboy alikuwa na label na alikuwa amemsign rapper mwingine anaitwa Quando Rondo. Ambaye pamoja walishrikiana kurusha diss kwa kingvon na kundi lake. Huyu ndie Quando rondo
ce378676003c91189a427de922894ee6.jpg


Kingvon nae alikuwa chini ya label ya rapper lil durk ambaye pia walishirikiana pamoja kuwatupia diss youngboy pamoja na quando rondo. Huyu ndie Lil durk.
245a48d32a4714fba85ba5915d9bfda8.jpg


Siku moja, quando rondo na wenzake walikuwa wameenda klabu. King von alipomuona quando, yeye akiwa na crew yake, alimfata quando na kuanza kumrushia ngumi, hadi pale rafiki wa quando aitwaye lul tim kuchukua bastola na kumpiga risasi king von kupelekea mauti yake.
20241026_065739.jpg


Baada ya muda kupita siku moja quando rondo pamoja na binamu yake walikuwa los angeles ambapo gari ilipokuja karibu yao na kuanza kurusha risasi ambazo zilipelekea umauti wa binamu yake quando rondo huku yeye akinusurika.
20241026_065743.jpg


Hadi ilipofika agents wa uchunguzi wa uharifu marekani wamekuja kugundua kuwa Rapper Lil durk ndie alietuma watu kwenda kumuua quando ambapo hawakufanikiwa ila kufanya umauti kwa binamu yake.

Alifanya hivi kwa ajili ya revenge ya kifo cha rafiki yake king von.

Hii imepelekea lil durk kukamatwa na watu watano wengine aliowa wa-hire kwa ajili ya mauaji.

So directly hauwezi kumlaumu huyu binti. Ni vijana na ujinga wa mihemuko yao.

Sasa wakati yote haya yanaendelea wao wanazidi kuumia lakini binti mwenyewe anadunda mtaani na sasa hivi ni mpenzi wa mchezaji wa NBA, Dejounte Murray.
20241026_081447.jpg
 
Hadithi hii inatufundisha nini kimahusiano?
 
NI STORY YA UTOTO MWINGI NA UPUUZI MWINGI:

Binti anaitwa Jania Meshell
View attachment 3135442

Alikuwa mpenzi wa rapper anaeitwa nba youngboy na pia alifanikiwa kuzaa nae.
View attachment 3135443

Baada ya kuwa wameachana. Binti huyu alianza kudate na rapper mwingine ambaye anaitwa king von.
View attachment 3135444

King von ambaye alikuwa tayari ameanza kurusha diss kwa nba youngboy kwa sababu youngboy alikata mara kadhaa kukubali feature request kutoka kwa king von

Situation ya king von kudate na babymama wa youngboy ilikuza moto wa ugomvi wao.
View attachment 3135485

Nba youndboy alikuwa na label na alikuwa na alikuwa amemsign rapper mwingine anaitwa Quando Rondo. Ambaye pamoja walishrikiana kurusha diss kwa kingvon na kundi lake. Huyu ndie Quando rondo
View attachment 3135450

Kingvon nae alikuwa chini ya label ya rapper lil durk ambaye pia walishirikiana pamoja kuwatupia diss youngboy pamoja na quando rondo. Huyu ndie Lil durk.
View attachment 3135451

Siku moja, quando rondo na wenzake walikuwa wameenda klabu. King von alipomuona quando, yeye akiwa na crew yake, alimfata quando na kuanza kumrushia ngumi, hadi pale rafiki wa quando aitwaye lul tim kuchukua bastola na kumpiga risasi king von kupelekea mauti yake.
View attachment 3135487

Baada ya muda kupita siku moja quando rondo pamoja na binamu yake walikuwa los angeles ambapo gari ilipokuja karibu yao na kuanza kurusha risasi ambazo zilipelekea umauti wa binamu yake quando rondo huku yeye akinusurika.
View attachment 3135489

Hadi ilipofika agents wa uchunguzi wa uharifu marekani wamekuja kugundua kuwa Rapper Lil durk ndie alietuma watu kwenda kumuua quando ambapo hawakufanikiwa ila kufanya umauti kwa binamu yake.

Alifanya hivi kwa ajili ya revenge ya kifo cha rafiki yake king von.

Hii imepelekea lil durk kukamatwa na watu watano wengine aliowa wa-hire kwa ajili ya mauaji.

So directly hauwezi kumlaumu huyu binti. Ni vijana na ujinga wa mihemuko yao.

Sasa wakati yote haya yanaendelea wao wanazidi kuumia lakini binti mwenyewe anadunda mtaani na sasa hivi ni mpenzi wa mchezaji wa NBA, Dejounte Murray.
View attachment 3135513
It goes deeper than that. Hawa watoto wana maisha ya kimbwa sana na bifu lao ni zaidi ya huyo baby mama..
Hawa watoto wanaoimba drill rap wanakuwa wanatamba kwenye lyrics kuhusu makosa wanayofanya.
Huyo king von alikuwa serial killer na alikuwa anaelezea kwenye lyrics zake kuwa anaendelea kuongeza bodies ila ni vile vyombo vya usalama vilikuwa vinajua katekeleza mauaji ila ushahidi hakuna na hawawezi tumia nyimbo zake kama ushahidi.
Huyo king von alikuwa ana flirt na demu fulani mtandaoni akisema anampenda ambaye alikuwa from the other gang, halafu baadaye akamuua. Sema demu mwenyewe naye alikuwa hit woman wa gang pinzani.
Lil durk mwenyewe naye ana criminal record kuna kipindi alikuwa ndani sema nadhani akatoka. hivi majuzi kakamatwa kwa kosa la kulipa mtu afanye mauaji.
Ila ukifuatilia maisha ya hawa madogo hayana tofauti na sicarios wa mexican cartels. Hii story umeisummerize ila hawa wana ugomvi mkubwa sana zaidi ya huo u baby mama.
Hata vifo vyao mimi havinisikitishi. Mtu aliyeuawa nikasikitika ni XXXtentacion maaana mauaji yake hayakuwa kwa sababu ya gang bali wizi tu.
 
Hao marapa woote, yawezekana katika makuzi yao walilelewa na singo mazaz.

Emotional men.
 
Hao wote watoto wa mbwa. Eti na Lil Durk naye yuko kwenye gang wakati juzijuzi tu alikuwa mtoto mdogo mbele ya wahuni waliokubuhu kina Young Thug.

NBA YoungBoy kifungo cha nyumbani kilimsaidia akawa monitored kumpunguza kasi ya uhalifu. Ila siamini alitishiwa na bifu za ex wake, ana watoto 12 mmoja alibambikiwa kwa wanawake 9 sasa atishiwe na kuachwa wakati ni sehemu ya upuuzi wake. Ni kama yuko kwenye mradi wa kuzalisha.
 
Malezi ya jamii za black community huko marekani yanatukuza sana crime ndio maana wengi wanaishia kuana. Ndiyo maana hata wakiuana muaji wanamjua but we ain't snitching.
Kweli kabisa
 
It goes deeper than that. Hawa watoto wana maisha ya kimbwa sana na bifu lao ni zaidi ya huyo baby mama..
Hawa watoto wanaoimba drill rap wanakuwa wanatamba kwenye lyrics kuhusu makosa wanayofanya.
Huyo king von alikuwa serial killer na alikuwa anaelezea kwenye lyrics zake kuwa anaendelea kuongeza bodies ila ni vile vyombo vya usalama vilikuwa vinajua katekeleza mauaji ila ushahidi hakuna na hawawezi tumia nyimbo zake kama ushahidi.
Huyo king von alikuwa ana flirt na demu fulani mtandaoni akisema anampenda ambaye alikuwa from the other gang, halafu baadaye akamuua. Sema demu mwenyewe naye alikuwa hit woman wa gang pinzani.
Lil durk mwenyewe naye ana criminal record kuna kipindi alikuwa ndani sema nadhani akatoka. hivi majuzi kakamatwa kwa kosa la kulipa mtu afanye mauaji.
Ila ukifuatilia maisha ya hawa madogo hayana tofauti na sicarios wa mexican cartels. Hii story umeisummerize ila hawa wana ugomvi mkubwa sana zaidi ya huo u baby mama.
Hata vifo vyao mimi havinisikitishi. Mtu aliyeuawa nikasikitika ni XXXtentacion maaana mauaji yake hayakuwa kwa sababu ya gang bali wizi tu.
Kabisa ni Gang war.
Lil durk awez chomoka hit man wa lil durk FBI walimvisha wire akaenda ongea na durk kuhusu kufanya mauaji so evidence detetective wanazo.

Me niliumia kifo cha Pop smoke.
 
Kabisa ni Gang war.
Lil durk awez chomoka hit man wa lil durk FBI walimvisha wire akaenda ongea na durk kuhusu kufanya mauaji so evidence detetective wanazo.

Me niliumia kifo cha Pop smoke.
Hatari sanaa
 
NI STORY YA UTOTO MWINGI NA UPUUZI MWINGI:

Binti anaitwa Jania Meshell
View attachment 3135442

Alikuwa mpenzi wa rapper anaeitwa nba youngboy na pia alifanikiwa kuzaa nae.
View attachment 3135443

Baada ya kuwa wameachana. Binti huyu alianza kudate na rapper mwingine ambaye anaitwa king von.
View attachment 3135444

King von ambaye alikuwa tayari ameanza kurusha diss kwa nba youngboy kwa sababu youngboy alikata mara kadhaa kukubali feature request kutoka kwa king von

Situation ya king von kudate na babymama wa youngboy ilikuza moto wa ugomvi wao.
View attachment 3135485

Nba youndboy alikuwa na label na alikuwa na alikuwa amemsign rapper mwingine anaitwa Quando Rondo. Ambaye pamoja walishrikiana kurusha diss kwa kingvon na kundi lake. Huyu ndie Quando rondo
View attachment 3135450

Kingvon nae alikuwa chini ya label ya rapper lil durk ambaye pia walishirikiana pamoja kuwatupia diss youngboy pamoja na quando rondo. Huyu ndie Lil durk.
View attachment 3135451

Siku moja, quando rondo na wenzake walikuwa wameenda klabu. King von alipomuona quando, yeye akiwa na crew yake, alimfata quando na kuanza kumrushia ngumi, hadi pale rafiki wa quando aitwaye lul tim kuchukua bastola na kumpiga risasi king von kupelekea mauti yake.
View attachment 3135487

Baada ya muda kupita siku moja quando rondo pamoja na binamu yake walikuwa los angeles ambapo gari ilipokuja karibu yao na kuanza kurusha risasi ambazo zilipelekea umauti wa binamu yake quando rondo huku yeye akinusurika.
View attachment 3135489

Hadi ilipofika agents wa uchunguzi wa uharifu marekani wamekuja kugundua kuwa Rapper Lil durk ndie alietuma watu kwenda kumuua quando ambapo hawakufanikiwa ila kufanya umauti kwa binamu yake.

Alifanya hivi kwa ajili ya revenge ya kifo cha rafiki yake king von.

Hii imepelekea lil durk kukamatwa na watu watano wengine aliowa wa-hire kwa ajili ya mauaji.

So directly hauwezi kumlaumu huyu binti. Ni vijana na ujinga wa mihemuko yao.

Sasa wakati yote haya yanaendelea wao wanazidi kuumia lakini binti mwenyewe anadunda mtaani na sasa hivi ni mpenzi wa mchezaji wa NBA, Dejounte Murray.
View attachment 3135513
Hasira za mkizi....

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Ni kweli umejuaje ahha
Mtoto yeyote wa alielelewa na mama peke yake huwa anapandikizwa hasira nyingi na mitazamo ya kike, kwa hiyo mpaka anakua mkubwa, anakua ni mwanamke ndani ya bodi la kiume.

Na kama unavyojua mwanamke aliumbwa emotional ndio maana akanyimwa nguvu(yaani ikitokea amekua emotional triggered hata akisema atumie nguvu anakua hana madhara, sasa imagine mwanamke huyo ndio kajipandikiza kwa mtoto wa kiume, madhara ni makubwa sana.)

Kama serikali wasipoliangalia kwa makini hili la singo maza, miaka ijayo itakua ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom