Hivyo wajisalimishe kwa dikteta Put-in sio ?Hapo watasababisha Ukraine iendelee kuharibiwa zaidi.nawaonea huruma waukraine wanaumia Sana serikali Yao haiwajali kwa sababu wanajua hawashindi wanajitutumua Tu.
KivipUkraine inaangamia kwa maslahi ya marekaninna washirika wake
Ukraine haina cha kupoteza tena,imeshageuzwa majivu,urusi ndio atakayepotezaHapo watasababisha Ukraine iendelee kuharibiwa zaidi.nawaonea huruma waukraine wanaumia Sana serikali Yao haiwajali kwa sababu wanajua hawashindi wanajitutumua Tu.
Hili siyo wazo jipya, ule msururu wa km 64 kuelekea Kyiv ulikuwa na lengo la kumwondoa madarakani ila ilishindikana.Russia akitaka kuimaliza hii vita mbona anaweza na anajua. Regime change ambayo anaweza lakini kwa sasa sio option.
Anachofanya Russia kwa sasa ni kuandaa silaha kali na nzito ili wakianza operation ondoa Zelensky. Inakuwa mwisho anaweka regime yake na ndio mwisho wa msaada wa west.
The good thing haya mashambulizi yatatumika kama pretext ua kumuondoa Zelensky kwa tuhuma za ugaidi.
Urusi ashambulie mara ngapi?Urus akijibu mashdmbulizi ukraine itakwisha, mpaka sasa ukraine ni battlefield.
Juzi Washington wametoa go ahead jamaa washambulie ndani ya urusi na drone hayo ndio matokeo yake.
Nje ya matumizi ya nuclear, sioni kama Russia anayo mapya zaidi ya unachokifanya.Urus akijibu mashdmbulizi ukraine itakwisha, mpaka sasa ukraine ni battlefield.
Juzi Washington wametoa go ahead jamaa washambulie ndani ya urusi na drone hayo ndio matokeo yake.
Kwanini wasingetumia hii mbinu kabla? Au alitaka apoteze askari wake na vifaa vyake vingi vya kisasa?Russia akitaka kuimaliza hii vita mbona anaweza na anajua. Regime change ambayo anaweza lakini kwa sasa sio option.
Anachofanya Russia kwa sasa ni kuandaa silaha kali na nzito ili wakianza operation ondoa Zelensky. Inakuwa mwisho anaweka regime yake na ndio mwisho wa msaada wa west.
The good thing haya mashambulizi yatatumika kama pretext ua kumuondoa Zelensky kwa tuhuma za ugaidi.
HAKUNANje ya matumizi ya nuclear, sioni kama Russia anayo mapya zaidi ya unachokifanya.
Unaota wewe amka unajikojoleaRussia akitaka kuimaliza hii vita mbona anaweza na anajua. Regime change ambayo anaweza lakini kwa sasa sio option.
Anachofanya Russia kwa sasa ni kuandaa silaha kali na nzito ili wakianza operation ondoa Zelensky. Inakuwa mwisho anaweka regime yake na ndio mwisho wa msaada wa west.
The good thing haya mashambulizi yatatumika kama pretext ua kumuondoa Zelensky kwa tuhuma za ugaidi.
Embu mzabue kofi moja zitoUnaota wewe amka unajikojolea