Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyiny sisi hata wakiuza bandari mnasema bandari haiwahusu , hopeless kbsTupe updates za Kenya hapo..vipi mmetulia??Vita vyenu vya ukombozi kupitia maandamano mnatoboa???
Kuna wakati Putin alisema Crimea ikiguswa basi atafanya kitu maana itakua kama umeigusa Moscow, ila Ukraine siku hizi wanapiga sana hapo Crimea....
😂 dogo hizo ni silaha za Ukraine zimeripuliwa leo afu unatudanganya eti silaha za Mrusi ngojea nikulete video za vifaru vilivyo bomolewa leo vra Ukraine
Walichopiga ni sehemu ya kuhifadhi mafuta sio silaha
Mwarabu asili yake mama yake ni Mwafrica kama hujui dogo, na wewe Ukraine anadamu na wewe 😂 Ukraine wanalia kwa kichapo bado unaleta ujinga eti anashinda vita. Hivi umesikia US Secret of State anasema nini leo anasema yuko tayari kufanya peace na Russian kama wataonyesha wako tayari kufanya peace ujue wameisha ona moto wa Mrusi.Naona umeokoteza video ya waarabu, maandishi ya kiarabu, hivi waarabu waliwaroga au nini maana mnawaabudu kabisa yaani.
Subiri majibu ya urusi msije mkaanza kusema warusi ni wakatili.Kuna wakati Putin alisema Crimea ikiguswa basi atafanya kitu maana itakua kama umeigusa Moscow, ila Ukraine siku hizi wanapiga sana hapo Crimea....
Kuna wakati Putin alisema Crimea ikiguswa basi atafanya kitu maana itakua kama umeigusa Moscow, ila Ukraine siku hizi wanapiga sana hapo Crimea....
Mwarabu asili yake mama yake ni Mwafrica kama hujui dogo, na wewe Ukraine anadamu na wewe 😂 Ukraine wanalia kwa kichapo bado unaleta ujinga eti anashinda vita. Hivi umesikia US Secret of State anasema nini leo anasema yuko tayari kufanya peace na Russian kama wataonyesha wako tayari kufanya peace ujue wameisha ona moto wa Mrusi.
Kuna wale military analysis wa German wanasema hajawahi ona jeshi duniani kama la Urusi tokea vita vya pili duniani afu we unakuja na pumba.
Hebu nipe nini anachopata Ukraine kupiga daraja la Ukraine sijaona alicho kipata zaidi ya kipigo takatifu kuto kwa Mrusi.
Nenda kale chips na kuku ulale Ukraine kabaki kutafuta head za habari kwamba anaishambulia Urusi, kashindwa rudisha ardhi yake mpaa sasa na hata irudisha si ajabu Odesa na Maikoliv zitabebwa pia.
Nyie si mnawabembeleza DP wachukue hizo bandari zenu...tumemuona Ruto kapiga picha na hao jamaa..na bendera yenu kwenye jumba Dubai pale...Nyiny sisi hata wakiuza bandari mnasema bandari haiwahusu , hopeless kbs
Mbona hueleweki kijana? Kwahiyo Ukraine anahifadhi silaha zake Crimea?[emoji23] dogo hizo ni silaha za Ukraine zimeripuliwa leo afu unatudanganya eti silaha za Mrusi ngojea nikulete video za vifaru vilivyo bomolewa leo vra Ukraine
Walichopiga ni sehemu ya kuhifadhi mafuta sio silaha
Haya
Ile video ilikuwa ni sila za Ukraine zimeripuliwa kule Ukraine, Ukraine kapiga mafuta wala si silahaMbona hueleweki kijana? Kwahiyo Ukraine anahifadhi silaha zake Crimea?
Unaleta mambo ya syria.[emoji15][emoji12][emoji23] dogo hizo ni silaha za Ukraine zimeripuliwa leo afu unatudanganya eti silaha za Mrusi ngojea nikulete video za vifaru vilivyo bomolewa leo vra Ukraine
Walichopiga ni sehemu ya kuhifadhi mafuta sio silaha
Kila siku majibu majibu!; hadi sasa ni mwaka na uchafu!Subiri majibu ya urusi msije mkaanza kusema warusi ni wakatili.
Sawa kabisaUnaleta mambo ya syria.[emoji15][emoji12]