Crimea kunawaka moto, Ukraine washambulia ghala za silaha za Urusi kwa makombora

Crimea kunawaka moto, Ukraine washambulia ghala za silaha za Urusi kwa makombora

Kuna wakati Putin alisema Crimea ikiguswa basi atafanya kitu maana itakua kama umeigusa Moscow, ila Ukraine siku hizi wanapiga sana hapo Crimea....


😂 dogo hizo ni silaha za Ukraine zimeripuliwa leo afu unatudanganya eti silaha za Mrusi ngojea nikulete video za vifaru vilivyo bomolewa leo vra Ukraine



Walichopiga ni sehemu ya kuhifadhi mafuta sio silaha
 
😂 dogo hizo ni silaha za Ukraine zimeripuliwa leo afu unatudanganya eti silaha za Mrusi ngojea nikulete video za vifaru vilivyo bomolewa leo vra Ukraine



Walichopiga ni sehemu ya kuhifadhi mafuta sio silaha


Naona umeokoteza video ya waarabu, maandishi ya kiarabu, hivi waarabu waliwaroga au nini maana mnawaabudu kabisa yaani.
 
Naona umeokoteza video ya waarabu, maandishi ya kiarabu, hivi waarabu waliwaroga au nini maana mnawaabudu kabisa yaani.
Mwarabu asili yake mama yake ni Mwafrica kama hujui dogo, na wewe Ukraine anadamu na wewe 😂 Ukraine wanalia kwa kichapo bado unaleta ujinga eti anashinda vita. Hivi umesikia US Secret of State anasema nini leo anasema yuko tayari kufanya peace na Russian kama wataonyesha wako tayari kufanya peace ujue wameisha ona moto wa Mrusi.

Kuna wale military analysis wa German wanasema hajawahi ona jeshi duniani kama la Urusi tokea vita vya pili duniani afu we unakuja na pumba.


Hebu nipe nini anachopata Ukraine kupiga daraja la Ukraine sijaona alicho kipata zaidi ya kipigo takatifu kuto kwa Mrusi.


Nenda kale chips na kuku ulale Ukraine kabaki kutafuta head za habari kwamba anaishambulia Urusi, kashindwa rudisha ardhi yake mpaa sasa na hata irudisha si ajabu Odesa na Maikoliv zitabebwa pia.
 
Mwarabu asili yake mama yake ni Mwafrica kama hujui dogo, na wewe Ukraine anadamu na wewe 😂 Ukraine wanalia kwa kichapo bado unaleta ujinga eti anashinda vita. Hivi umesikia US Secret of State anasema nini leo anasema yuko tayari kufanya peace na Russian kama wataonyesha wako tayari kufanya peace ujue wameisha ona moto wa Mrusi.

Kuna wale military analysis wa German wanasema hajawahi ona jeshi duniani kama la Urusi tokea vita vya pili duniani afu we unakuja na pumba.


Hebu nipe nini anachopata Ukraine kupiga daraja la Ukraine sijaona alicho kipata zaidi ya kipigo takatifu kuto kwa Mrusi.


Nenda kale chips na kuku ulale Ukraine kabaki kutafuta head za habari kwamba anaishambulia Urusi, kashindwa rudisha ardhi yake mpaa sasa na hata irudisha si ajabu Odesa na Maikoliv zitabebwa pia.

Wewe kwani huyo Mrusi una undugu naye, kwa sasa hivi mnamshabikia Urusi kisa mumeaminishwa kwa yeye kujaribu kuparamia Ukraine kwamna mnaikomoa Marekani, huwa mumekaririshwa na muarabu kwamba Marekani ndio adui yenu, mwarabu mnamuabudu hadi mnakua kama mazombi vile.....

Huwa mnaaminishana ujinga sana

screenshot_20220731-204338-2-jpg.2310321
 
Nyiny sisi hata wakiuza bandari mnasema bandari haiwahusu , hopeless kbs
Nyie si mnawabembeleza DP wachukue hizo bandari zenu...tumemuona Ruto kapiga picha na hao jamaa..na bendera yenu kwenye jumba Dubai pale...
Na wametime mda mzuri...mpo mnaparuana, vurugu mechi mitaani....akili zikiwakaa sawa mtakuta waarabu wamepiga kwenye mshono..mtatoa kilio....na mahindi tumeanza wapiga piga..mtumue irrigation..nyie si mko juu..BADALA ya kutatua haya matatizo mko na hisia mnatukana wazungu na kuumia wanavyotwangana...akili zipo kweli au matope??
 
[emoji23] dogo hizo ni silaha za Ukraine zimeripuliwa leo afu unatudanganya eti silaha za Mrusi ngojea nikulete video za vifaru vilivyo bomolewa leo vra Ukraine



Walichopiga ni sehemu ya kuhifadhi mafuta sio silaha
Mbona hueleweki kijana? Kwahiyo Ukraine anahifadhi silaha zake Crimea?
 
Vilianzia Crimea na vitaishia Crimea
emoji56.png
emoji56.png


Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 Haya
Mbona hueleweki kijana? Kwahiyo Ukraine anahifadhi silaha zake Crimea?
Ile video ilikuwa ni sila za Ukraine zimeripuliwa kule Ukraine, Ukraine kapiga mafuta wala si silaha

Ukraine kila kukicha anasema nakomboa na piga hakuna kitu ni propoganda tu kabaki kupiga daraja tu 😂

Ukraine kwisha walibaki wa Polish na wajerumani na wa Finland ndio wanapigana vita kwa kujidai wao ni waukraine jana wamepigwa nusu wamekufa na nusu wamekimbia kama vichaa.
 
[emoji23] dogo hizo ni silaha za Ukraine zimeripuliwa leo afu unatudanganya eti silaha za Mrusi ngojea nikulete video za vifaru vilivyo bomolewa leo vra Ukraine



Walichopiga ni sehemu ya kuhifadhi mafuta sio silaha
Unaleta mambo ya syria.[emoji15][emoji12]
 
Back
Top Bottom