Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
- Thread starter
-
- #41
Kuwa na speed sio kuwa na thamani ..thamani ni materials..mfano ndege ya anovo inachukua abiria Mia 5 na ndege ya Airbus inachukua abiria Mia 4 ...lakini ndege ya Airbus ina bei kubwa kuliko ANOVO .Iv buggati ya 2017 au 2016 si ina speed 500 naitaji elimu iv hiyo ya speed 465 si itakuwa ndogo kwa iyo ya 500 kama nakosea naotaji nieweshwe
Hahahahaamara paaap Kiduku Lilo ndo christiano ronaldo
"hakuna mwingine atakayelinunua hapo "Kiduku Lilo ,anakuangalia na kuanza kukucheka,,,,
Ni ndfu mnoobilion 43 ni pesa ndefu sana.
Na mm Mkuu naweza nunua sema sitakiBongo bongo wafuatao wanaweza wakalinunua tu, sema tatizo ndo gari yenyewe imetengenezwa moja tu.
Rugemaiya yule wa Escro
Singasinga
Rostam Aziz
Mo Dewj
Manji
Bakharesa.
Wapo kibo tu usiogope.
Aisee ni sawa tu kwamba tunazaliwa na mwanamkeNawaambiaga kuna watu tumekuja kusindikiza WATU waishi halafu tufe tuondoke dunian, anatokea mph,.mbv. Anasema sisi binadam wote ni sawa
Nahisi hili gari linazaa na kujifunguaHalipati ajali ?
Betri lake halichomoki ?
Linataga mayayi ?
Mkuu lilinunuliwa na nan vile?Gari la thamani zaidi kuwahi kuuzwa ni Ferrari 250 GTO
1962 Ferrari 250 GTOwas sold for a record US$48.4 million – the most expensive car ever sold at an auction. The 1962 Ferrari 250 GTO, which was sold for a record US$48.4 million at auction by RM Sotheby's in California last Saturday.
Yeah Mkuu manake shell moja Unaweza kutumia kama milioni 250 hivi...humo humo na super market .Hapo najenga vituo vya mafuta ( sheli) vya nguvu kama 80 hivi na chenji inabaki
Hahahahaha hahahahaha mkuu we lala tu43.1 Biliion Tshs.napigia hesabu ya bus za Yutong hapa,unapata kama basi 215,ngoja nilale tu kwanza sitaki hata kuwaza...
Hapo umemsahau mfadhili na kocha wa wananchi papaa mwinyi zahera, anapesa Hadi zingine anazisahau!Bongo bongo wafuatao wanaweza wakalinunua tu, sema tatizo ndo gari yenyewe imetengenezwa moja tu.
Rugemaiya yule wa Escro
Singasinga
Rostam Aziz
Mo Dewj
Manji
Bakharesa.
Wapo kibo tu usiogope.
Bukoba- dar masaa mawili hatari sana...
Mzee Wa kuwaonyesha wavuvi balaa la hela baada ya Kutoka gym kufanya zoezi na wageni wake wa sadcKiduku lilo ni nani