Cristiano Ronaldo afikisha magoli 700, sasa kutoka CR7 hadi, rekodi yake inaendelea kutisha

Cristiano Ronaldo afikisha magoli 700, sasa kutoka CR7 hadi, rekodi yake inaendelea kutisha

Ukiambiwa Ronaldo co binadam wa kawaida uwe unaelewa msikilize Messi apo[emoji116][emoji116]

Wachezaji wakubwa the legendaries hawana kawaida ya kukandiana pale mmoja anapoulizwa kuhusu mpinzani wake. We have to learn something from them
 
Ronaldo kamzifi messi kila kitu kuanzia
Hela
Umri
Watoto
Mechi
Magoli
Timu alizocheza
Messi alichomzidi ronaldo ni mzuzu tu

Ronaldo kamzidi Messi kwa Umalaya na Kubaka wanawake pia
 
Wachezaji wakubwa the legendaries hawana kawaida ya kukandiana pale mmoja anapoulizwa kuhusu mpinzani wake. We have to learn something from them
Achana na habari za kusifia ww angalia af uone utofauti mkuu
 
Huwa hatujishughulishi na idadi ya mechi kwa maana km mchezaj ameshindwa kumfikia mwenzie et kisa amecheza mechi chache it's none of our business huwez kuniambia et pele amemzd maradona makombe ya dunia kwa kuwa pele alicheza michuano mingi ila maradona km na yy angecheza michuano mingi angemfikia huu ni ukosefu wa hoja mzee kwani kuhusu suala la ufungaji ipo wazi cr7 yupo juu ya Messi na co Messi tu ata Pele mwnyw hafikii ule mziki angalia idadi ya mechi alizocheza pale madrid na goli alizofunga ndo utajua kwmb suala la mchezaj kuwa na goli nyng halihusiani sn na idadi ya mechi but point yko ya mwisho ndo yenye mashiko kwmb Ronaldo abaki kuwa Ronaldo na Messi abaki kuwa Messi full stop
Pele afikii vp akati ndo yuko juu kwa mabao na we mwenywe umesema atuangalii vigezo vya idadi ya mechi
 
Back
Top Bottom