Cristiano Ronaldo anacheza ndondo huko Uarabuni kweli pesa nwanaharamu

Hivi,ukicheza ndondo hapo kijijini kwenu wanakulipa senti ngapi?
 
mbona mmoja mkuu?
Kwani huyo sio wa Argentina? Brazil na MLS ligi ya Brazil ni bora so hata selection itabase sana kwa wachezaji wao wa ndani na wa ulaya. Ila nchi nyingi za Latin America kwenye national team huwezi kukosa mchezaji kutoka MLS.

Kuanzia Mexico, Chile,Argentina, Uruguay, Paraguay nk wana wachezaji kibao MLS na wapo kwenye national team. Hata kama hutaki ila MLS na ligi ya huko urabuni ni ardhi na mbingu.

Hapo bado kuna lundo la wachezaji kibao wametoka MLS na wanasajiliwa kwenye ligi kubwa za ulaya ,karibia kila msimu.
 
Aisee kwenye ranking ligi ya waarabu imepitwa hata na ya South Africa
 
We ni mbishi kiasili,sasa unabishana na takwimu za uefa
 
Jamaa anataka tubishane.
Yikpe alipotoka Bongo,alipata Kwanza timu Saudia,sijui akaishia wapi,wachezaji wengi wa Africa wanazamia uarabuni,kina Okwi,Mikson ,lakini kupata timu USA huwezi kusikia maana ni ngumu.
 
Yikpe alipotoka Bongo,alipata Kwanza timu Saudia,sijui akaishia wapi,wachezaji wengi wa Africa wanazamia uarabuni,kina Okwi,Mikson ,lakini kupata timu USA huwezi kusikia maana ni ngumu.

hivi hujui kama kuna mbongo anacheza MLS? nitaftie mmoja anaecheza Saudi
 
Aisee kwenye ranking ligi ya waarabu imepitwa hata na ya South Africa

hata Belgium huwa hashuki top 3 ya top national timu, na kila mashindano yanapo kuja huwenda kutia aibu. Kwahiyo hizo rank haziwezi kiwa kipimo halisi cha ubora.
 

Na Saudi wanasasajili wachezaji kutoka Ulaya. Hata wazungu wamekuwa wakikosa usingizi.
 
CR7 ameshinda kila kitu kwenye soka, kwasasa anaimarisha utajiri wake bila kutumia mabavu.
Kwasasa anafanya kitu anacho kipenda bila presha kubwa.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hajashinda world cup ya vijana,na hajashinda world cup BIG TOURNAMENT in life of football
 
Ukute bando uliliotumia kuandika huu upupu ni la songesha halafu una uthubutu wa kumsema mtu ambae hata mfanyakazi wake wa kusafisha choo humfikii kwa chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…