uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Uko mashariki ya kati Ronaldo anachezeshwa mashindano yasioleweka mashindano
Ukimuangalia Ronaldo anaonyesha kabisa hapendi kucheza mashindano hayo ila sasa ameshakula vya watu atafanyaje
Haya mashindano ni kama cecafa au mapunduzi cup hadi timu za somalia zinaitwa kushiriki
Nilikuwa namcheki Ronaldo kimtindo anaona noma sema fresh
Jamaa hadi sura imebadilika imekomaa balaa baada ya kwenda uarabuni
Kitu cha ajabu mashabiki hawajazi viwanja yaani uwanja unakuwa nusu hauna watu pmj na jina la Ronaldo kuwa lipo uwanjani
Kweli messi aliona mbali kuwakimbia waarabu.
USA kila mech masta wnahudhuri game za messi
Messi kawa kijana kule USA yaani ule uzee wa PSG haunekani tena! Kweli USA haimkatai ntu
Ukimuangalia Ronaldo anaonyesha kabisa hapendi kucheza mashindano hayo ila sasa ameshakula vya watu atafanyaje
Haya mashindano ni kama cecafa au mapunduzi cup hadi timu za somalia zinaitwa kushiriki
Nilikuwa namcheki Ronaldo kimtindo anaona noma sema fresh
Jamaa hadi sura imebadilika imekomaa balaa baada ya kwenda uarabuni
Kitu cha ajabu mashabiki hawajazi viwanja yaani uwanja unakuwa nusu hauna watu pmj na jina la Ronaldo kuwa lipo uwanjani
Kweli messi aliona mbali kuwakimbia waarabu.
USA kila mech masta wnahudhuri game za messi
Messi kawa kijana kule USA yaani ule uzee wa PSG haunekani tena! Kweli USA haimkatai ntu