Cristiano Ronaldo anacheza ndondo huko Uarabuni kweli pesa nwanaharamu

Cristiano Ronaldo anacheza ndondo huko Uarabuni kweli pesa nwanaharamu

ACHA KULINGANISHA LIGI YA SAUDI NA MAMBO YA KIPUUZI. Hivi MLS kuna wachezaji? messi anacheza na wafu.
 
Uko mashariki ya kati Ronaldo anachezeshwa mashindano yasioleweka mashindano

Ukimuangalia Ronaldo anaonyesha kabisa hapendi kucheza mashindano hayo ila sasa ameshakula vya watu atafanyaje

Haya mashindano ni kama cecafa au mapunduzi cup hadi timu za somalia zinaitwa kushiriki

Nilikuwa namcheki Ronaldo kimtindo anaona noma sema fresh

Jamaa hadi sura imebadilika imekomaa balaa baada ya kwenda uarabuni

Kitu cha ajabu mashabiki hawajazi viwanja yaani uwanja unakuwa nusu hauna watu pmj na jina la Ronaldo kuwa lipo uwanjani

Kweli messi aliona mbali kuwakimbia waarabu.

USA kila mech masta wnahudhuri game za messi
Messi kawa kijana kule USA yaani ule uzee wa PSG haunekani tena! Kweli USA haimkatai ntu
Kikubwa pesa kwa Umri wake sio wamapenzi tena ni kukusanya hela nyingi iwezakanavyo kwaajili ya akistaafu aendelee kuishi kama mfalme
 
ACHA KULINGANISHA LIGI YA SAUDI NA MAMBO YA KIPUUZI. Hivi MLS kuna wachezaji? messi anacheza na wafu.
Huwezi kufananisha ligi ya US na Saudi ,duniani MLS ni ya 16 hata wachezaji wanaocheza ile ligi wengi wao wametoka kwenye mataifa yenye viwango bora vya FIFA na ishatoa wachezaji wengi kwenda ligi kubwa za ulaya.
Ronaldo yupo pale kuibrand ligi yao,ila kwa ubora MLS kaizidi parefu sana, ligi ya Saudi.
 
Uko mashariki ya kati Ronaldo anachezeshwa mashindano yasioleweka mashindano

Ukimuangalia Ronaldo anaonyesha kabisa hapendi kucheza mashindano hayo ila sasa ameshakula vya watu atafanyaje

Haya mashindano ni kama cecafa au mapunduzi cup hadi timu za somalia zinaitwa kushiriki

Nilikuwa namcheki Ronaldo kimtindo anaona noma sema fresh

Jamaa hadi sura imebadilika imekomaa balaa baada ya kwenda uarabuni

Kitu cha ajabu mashabiki hawajazi viwanja yaani uwanja unakuwa nusu hauna watu pmj na jina la Ronaldo kuwa lipo uwanjani

Kweli messi aliona mbali kuwakimbia waarabu.

USA kila mech masta wnahudhuri game za messi
Messi kawa kijana kule USA yaani ule uzee wa PSG haunekani tena! Kweli USA haimkatai ntu
Eti kakomaa baada ya kwenda uarabuni😁😁😁...
 
Huwezi kufananisha ligi ya US na Saudi ,duniani MLS ni ya 16 hata wachezaji wanaocheza ile ligi wengi wao wametoka kwenye mataifa yenye viwango bora vya FIFA na ishatoa wachezaji wengi kwenda ligi kubwa za ulaya.
Ronaldo yupo pale kuibrand ligi yao,ila kwa ubora MLS kaizidi parefu sana, ligi ya Saudi.

acha kuongea upuuzi ndugu. ligi mpaka wachezaji wakibongo unakuta halafu unataka kuipaisha.

Ronaldo
Mahrez
Benzema
Mane


siendelei mbele hao tu wanatosheleza kuifanya ligi ya Saudi kuwa ni kubwa sana kulinganisha na MLS

alafu unalinganisha na ligi ambayo Carlos Vela ni Super star
 
Uko mashariki ya kati Ronaldo anachezeshwa mashindano yasioleweka mashindano

Ukimuangalia Ronaldo anaonyesha kabisa hapendi kucheza mashindano hayo ila sasa ameshakula vya watu atafanyaje

Haya mashindano ni kama cecafa au mapunduzi cup hadi timu za somalia zinaitwa kushiriki

Nilikuwa namcheki Ronaldo kimtindo anaona noma sema fresh

Jamaa hadi sura imebadilika imekomaa balaa baada ya kwenda uarabuni

Kitu cha ajabu mashabiki hawajazi viwanja yaani uwanja unakuwa nusu hauna watu pmj na jina la Ronaldo kuwa lipo uwanjani

Kweli messi aliona mbali kuwakimbia waarabu.

USA kila mech masta wnahudhuri game za messi
Messi kawa kijana kule USA yaani ule uzee wa PSG haunekani tena! Kweli USA haimkatai ntu
yani nimwsoma kichwa cha habari tu, nimekuunga mkono
 
acha kuongea upuuzi ndugu. ligi mpaka wachezaji wakibongo unakuta halafu unataka kuipaisha.

Ronaldo
Mahrez
Benzema
Mane


siendelei mbele hao tu wanatosheleza kuifanya ligi ya Saudi kuwa ni kubwa sana kulinganisha na MLS

alafu unalinganisha na ligi ambayo Carlos Vela ni Super star
Sasa mimi na wewe na mpuuzi?Sometimes unabidi ufiche ujinga wako,sasa hao waliopanga hizo rank na ww nani anajua.

Ligi ya MLS,wamejaa wachezaji kutoka Latin America kibao (Argentina, Uruguay, Brazil, Mexico, Paraguay, Chile,Colombia) ,hizo nchi nilizo zitaja hapo ,ligi zao ni bora kuliko Saudi.

Wewe ligi ya Saudi imetoa mchezaji gani kwenda kucheza ulaya.Ligi yenyewe mbovu, hata hizo timu wanazo cheza nazo mbovu.

Ronaldo yupo pale kupromote ligi yao atleast ingie hata kwenye 50 bora ,ila bado sana na unaweza ukakuta hata ligi ya Misri ni bora kuliko ya Saudi.
 
Huyo ni mpuuzi

Hajui USA imezungukwa na nchi za mpira

Wachezaji wengi ligi za ulaya wanaenda USA kumalizia soka bila ushwawishi wa mapesa kwasababu ya mazingira bora
Sasa mimi na wewe na mpuuzi?Sometimes unabidi ufiche ujinga wako,sasa hao waliopanga hizo rank na ww nani anajua.

Ligi ya MLS,wamejaa wachezaji kutoka Latin America kibao (Argentina, Uruguay, Brazil, Mexico, Paraguay, Chile,Colombia) ,hizo nchi nilizo zitaja hapo ,ligi zao ni bora kuliko Saudi.

Wewe ligi ya Saudi imetoa mchezaji gani kwenda kucheza ulaya.Ligi yenyewe mbovu, hata hizo timu wanazo cheza nazo mbovu.

Ronaldo yupo pale kupromote ligi yao atleast ingie hata kwenye 50 bora ,ila bado sana na unaweza ukakuta hata ligi ya Misri ni bora kuliko ya Saudi.
 
Sasa mimi na wewe na mpuuzi?Sometimes unabidi ufiche ujinga wako,sasa hao waliopanga hizo rank na ww nani anajua.

Ligi ya MLS,wamejaa wachezaji kutoka Latin America kibao (Argentina, Uruguay, Brazil, Mexico, Paraguay, Chile,Colombia) ,hizo nchi nilizo zitaja hapo ,ligi zao ni bora kuliko Saudi.

Wewe ligi ya Saudi imetoa mchezaji gani kwenda kucheza ulaya.Ligi yenyewe mbovu, hata hizo timu wanazo cheza nazo mbovu.

Ronaldo yupo pale kupromote ligi yao atleast ingie hata kwenye 50 bora ,ila bado sana na unaweza ukakuta hata ligi ya Misri ni bora kuliko ya Saudi.

Acha mihemko ndugu, Hao wachezaji wa Latin america wote first quality wanatimkia kucheza top 5 league za europe, Second quality wanatimkia ulaya kucheza ligi nyengine, third quality wanatimkia asia kucheza nchi za far East na uarabuni, fourth quality wanatimkia kucheza ligi za Argenina na Brazil. Hao wanaokwenda kucheza MLS ni wale wa fungu la mwisho kabisa.
Ungetutajia wachezaji wawili wa Brazil na Argentina wanaocheza national team zao huku wakicheza MLS.
 
Acha mihemko ndugu, Hao wachezaji wa Latin america wote first quality wanatimkia kucheza top 5 league za europe, Second quality wanatimkia ulaya kucheza ligi nyengine, third quality wanatimkia asia kucheza nchi za far East na uarabuni, fourth quality wanatimkia kucheza ligi za Argenina na Brazil. Hao wanaokwenda kucheza MLS ni wale wa fungu la mwisho kabisa.
Ungetutajia wachezaji wawili wa Brazil na Argentina wanaocheza national

Nishajua na bishana na mtu wa aina gani, haya msome huyo.Sasa mpaka rank unabisha nazo, sizani kama ninaweza kubishana na ww.
Screenshot_20230807_224728_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom