Cristiano Ronaldo anataka kubeba mizigo yake aondoke kambi ya Ureno

Cristiano Ronaldo anataka kubeba mizigo yake aondoke kambi ya Ureno

Kwanini Ronaldo hajifunzi kwa watu kama kaka, Raul, Figo, Ronaldinho, wamemaliza vipindi vyao kwa amani

Kama ni kweli amezingua sana, anazidi kumpa umaarufu Messi
 
alichofanya kocha ni dharau Ronaldo na messi ndio ICON ya biashara za FIFA alafu wewe unamuweka bench ili ndio kombe lake la mwisho muache amalizie mpaka kufika apo Ureno aliibeba kwenye mabega yake
Kwaiyo tumuachie aiangushe kwa mabega yake tena,wareno sio mbumbumbu.
 
alichofanya kocha ni dharau Ronaldo na messi ndio ICON ya biashara za FIFA alafu wewe unamuweka bench ili ndio kombe lake la mwisho muache amalizie mpaka kufika apo Ureno aliibeba kwenye mabega yake

Aliecheza nafasi ya Ronaldo kafunga hatrick,hata ungekuwa wewe ungempanga nani?
 
Inadaiwa kuwa Cristiano Ronaldo anataka kuchukua hatua hiyo kutokana na kutokuwa na maelewano mazuri na kocha wake wa timu ya taifa ya Ureno, Fernando Santos.

Mshambuliaji huyo alianzia benchi katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora dhidi ya Uswisi, inaelezwa kuwa amechukizwa na maamuzi hayo na mpaka sasa upepo baina ya wawili hao haujakaa sawa.

Ureno bado inashiriki Michuano ya Kombe la Dunia, ipo Robo Fainali ambapo inatarajiwa kucheza dhidi ya Morocco.


============

REVEALED: Cristiano Ronaldo 'wanted to pack his bags and WALK OUT on the World Cup, threatening to leave Qatar' after tense talks with Portugal boss Fernando Santos when he was axed for last-16 win over Switzerland

Cristiano Ronaldo was reportedly ready to walk out on Portugal's World Cup squad after being left fuming when he was axed from their starting XI against Switzerland.

The former Man United star has overshadowed Fernando Santos' preparations for most of the tournament after the fallout of his exit from Old Trafford - but his poor performances for his country, coupled with his own attitude problems in their camp, have led to tensions with his boss.

And Portuguese outfit Record have claimed that the legendary forward wanted to pack his bags and quit the World Cup after holding talks with Santos, having found out he would not feature in the line-up for the last-16 clash this week.



DailyMail
Aje Tanzania kupumzika na kupunguza msongo wa mawazo.
 
Back
Top Bottom