denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kama ataenda Atletico Madrid ndio ataenda kuwavuruga mashabiki wa Real Madrid hawatataka kumuona tena wala kumsikia.
Lile jina lote alilotengenezea pale Real Madrid litaenda kuondoka, asiombe akanyage Santiago Bernabeu, bora aende huko Saudia, na sijui atabaki vipi Man Utd kwa huu ujuaji wake aliouonesha.
Kama vipi aje kutuomba Msimbazi tupo CAF Champions League, atasifika zaidi duniani kwa kucheza Klabu Bingwa za mabara mawili tofauti.
Lile jina lote alilotengenezea pale Real Madrid litaenda kuondoka, asiombe akanyage Santiago Bernabeu, bora aende huko Saudia, na sijui atabaki vipi Man Utd kwa huu ujuaji wake aliouonesha.
Kama vipi aje kutuomba Msimbazi tupo CAF Champions League, atasifika zaidi duniani kwa kucheza Klabu Bingwa za mabara mawili tofauti.