Messi ana 35 Ronaldo 37 au hujui umeandika nini?While the real greatest of all time Messi is still enjoying playing football at PSG, Ronaldo time is up,37 and he still want to to make a coach get sucked.
Lakin si tulielewana Ronaldo ni jeshi la mtu mmoja, Messi anawategemea Xavi na IniestaKwan hata Messi angeenda Man U, angefanya nn? Tatizo sio kiwango cha Ronaldo, tatizo ni team aliyopo. Pia mshahara wake watu hawawezi kulipa.
Kwavyovyote vile ronaldo umri umeshaenda.Ata angebaki timu moja usitegemee angekua na kubwa zaidi ya hapo alipofikia kwa umri wake.Mengine ni mitizamo tu ya mashabiki ambayo hayana uhalisia.Wakati ni ukuta.Unachosema ni sahihi, ila ingekuwa poa Ronaldo angebaki na kustaafia Madrid,bila kutaka mshahara mkubwa sana.Hiyo ingemsaidia kuweka marecord mengine kibao na hata kuheshimiwa zaidi (kuwa a legend of the legends) pale Madrid. Wachezaji wanoamuaga kubaki na timu moja huwa siyo wajinga. Ona sasa anavyoaibika!
Kwani messi naye ana misimu mingapi kabla nayeye hajatafuta mahali pakustaafia.Mpira wa ushindani ukishavuka 35 usitegemee jipya.While the real greatest of all time Messi is still enjoying playing football at PSG, Ronaldo time is up,37 and he still want to to make a coach get sucked.
Mbna Messi hajabaki Barca ili aweke hiyo legacy? Na kuwa Legend of the legends, Tena yeye ndo alitokea academy ile ile, kwann alitoka si ili maslahi yawepo anavyotaka? Useme tyuuu kwamba CR7 alibugi step kujoin Manyua, angeenda pale city mbna fresh, maana yeye lengo lake ni kucheza UCL ndo maana anahangaika hivi.Unachosema ni sahihi, ila ingekuwa poa Ronaldo angebaki na kustaafia Madrid,bila kutaka mshahara mkubwa sana.Hiyo ingemsaidia kuweka marecord mengine kibao na hata kuheshimiwa zaidi (kuwa a legend of the legends) pale Madrid. Wachezaji wanoamuaga kubaki na timu moja huwa siyo wajinga. Ona sasa anavyoaibika!
Yes CR7 ni jeshi la mtu m1, na amesha prove hilo. Wala hakna ubishi juu yake, lengo la Ronaldo ni kucheza UCL msimu huu, ndo maana anatafuta team inayoshiriki, sasa tatizo ni mshahara watu hawawezi kulipa.Lakin si tulielewana Ronaldo ni jeshi la mtu mmoja, Messi anawategemea Xavi na Iniesta
Haaa haaa haaaAkifika miaka 51 mtukumbushe tumtupe kwa Makolo kuna mashaibu wengi kule
π πLakin si tulielewana Ronaldo ni jeshi la mtu mmoja, Messi anawategemea Xavi na Iniesta
Una kipaji cha kuuguza mgonjwa,unatia matumaini pasipo na matumaini,Yes CR7 ni jeshi la mtu m1, na amesha prove hilo. Wala hakna ubishi juu yake, lengo la Ronaldo ni kucheza UCL msimu huu, ndo maana anatafuta team inayoshiriki, sasa tatizo ni mshahara watu hawawezi kulipa.
Kuhusu kiwango, yuko vizuri, tena form boraa, na class kubwaa.