Cristiano Ronaldo Apata Mapacha Wa Kiume

Cristiano Ronaldo Apata Mapacha Wa Kiume

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Mchezaji wa Real Madrid kapata watoto mapacha kabla Mechi za makombe ya Mabara hayajaanza ila alikaa kimya hadi jana baada ya timu yake kutolewa ndio akasema
Mama wa hao watoto hajulikani
Sasa Ronaldo anakuwa na watoto 3 wa Kiume
Mkubwa akiwa na miaka 7

Ronaldo ameruhusiwa kutocheza mechi zijazo za mshindi wa 3 ili akawaone watoto wake

Cristiano Ronaldo confirms the birth of his twin boys | Daily Mail Online
 
Hivi mkuu shoga ana uwezo wa kukaza makalio na kuachia "mashuti" anayoyaachia Ronaldo?

Sina uhakika kama hawa watu waliotepeta wanaweza kufanya ili kazi kule uwanjani..
Mkuu ina maana hujasikia mashoga wanapigana hadi mieleka??!!!!!Afu sidhani kama kupiga shuti lazima ukaze matako.
 
Anaposema Mama wa watoto hajulikani anamaanisha nini?

Yaani wewe na mimi hatuwajui wazazi wenzake na Ronaldo maana walilipwa kuzaa na kukaa konya
Surogate mothers hao
 
Back
Top Bottom