brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Mchezaji nguli wa soka duniani Cristiano Ronaldo amemtaka mpinzani wake wa muda mrefu Leonel Messi kukubali challenge yake ya kumtaka kuondoka Spain ili kupata changamoto zingine kuthibitisha ubora.
Ronaldo" nimecheza ureno, uingeleza, uhispania na Sasa Italia liking yeye Messi muda wote yupo Spain, kwangu Mimi maisha ni changamoto, nahisi atakuwa amenimisi, Nampa changamoto akubali aondoke Spain aje Italy japo naheshimu maamuzi yake".
Ronaldo" nimecheza ureno, uingeleza, uhispania na Sasa Italia liking yeye Messi muda wote yupo Spain, kwangu Mimi maisha ni changamoto, nahisi atakuwa amenimisi, Nampa changamoto akubali aondoke Spain aje Italy japo naheshimu maamuzi yake".