Cristiano Ronaldo asema Messi anatakiwa kuondoka Spain kuthibitisha ubora wake

Cristiano Ronaldo asema Messi anatakiwa kuondoka Spain kuthibitisha ubora wake

Hebu pitia maadnishi yako tena, ni lini Messi amekuwa Attacking Midfielder. Kwa namba ipi
Nafasi zote CR7 anazocheza Messi ndizo False 9, winger wa kulia. Tangu enzi za PEP mesi amekuwa akicheza forward akibadilishwa ni winger wa kulia mara chache kushoto. Pole sana naona umechanganywa na uwezo wa Mesi wa ku-drible ukadhani ni MF


Unajitoa ufahamu eti!haya endelea na mmaliziaji wako ambae hana tofauti na Higuain, same possession. While Messi anaanzia kati kati ya uwanja hadi golini..rinaldo wako anapiga story na keeper 😀😀....umechemsha ndugu.
 
Maradona alitoka Barcelona akahamia Napoli ikiwa timu ndogo sana, akaipa jina mpaka leo, Messi naye kama kweli ni mfalme wa soka atoke huko mafichoni aende kwenye ligi zingine ili tujue kama Jogoo la shamba linaweza wika mjini
Basi kama hivyo Pele nae sio bora, sababu miaka 18 amecheza Santos, baadaye akaenda kulimalizia soka lake kwa miaka miwili US.
 
Ronaldo anachekesha kweli..kama naye ni mkali kwa nn asingeenda kuchezea Parma huko Italy ili tujue kuwa yeye ni mkali, zaidi ya kutafuta timu kubwa tu, kaondoka Man, kaenda Madrid amekutana na mafundi kama Marcelo, Modric,Kross, Benzema na wengineo, Akaona ili kubeba Kombe la Italy lazima nieende kwa mabingwa yaani Juve yenye mafundi kama Mario, Douglas Costa, Dyabala nk..kama Yeye mkali na anahitaji changamoto aende angalau hata Parma tu sio mbaya ili tuone uwezo wake wa kuisaidia timu hadi inabeba ubingwa, sio kukimbilia timu kubwa ili akaendeleze mchezo wa "Nipe nifunge mimi"...
 
Ronaldo anachekesha kweli..kama naye ni mkali kwa nn asingeenda kuchezea Parma huko Italy ili tujue kuwa yeye ni mkali, zaidi ya kutafuta timu kubwa tu, kaondoka Man, kaenda Madrid amekutana na mafundi kama Marcelo, Modric,Kross, Benzema na wengineo, Akaona ili kubeba Kombe la Italy lazima nieende kwa mabingwa yaani Juve yenye mafundi kama Mario, Douglas Costa, Dyabala nk..kama Yeye mkali na anahitaji changamoto aende angalau hata Parma tu sio mbaya ili tuone uwezo wake wa kuisaidia timu hadi inabeba ubingwa, sio kukimbilia timu kubwa ili akaendeleze mchezo wa "Nipe nifunge mimi"...


Hahahaaa alafu anakuja mtu hapa eti CR7 mpaka sasa anaongoza kwa ufungaji kwenye ligi ngeni kwa mwaka wake wa kwanza tu 😂😂😂. Nikamwambia ataachaje kuwa na magoli mengi muda wote anashinda na keeper, wakumtengenezea pia wako wengi..kuna Mandzukic, Dybala, Pjanic, Costa n.k. hapa anatakiwa ajiongeze mwenyewe kuwa these two people/Estas dos personas ni different possession...
 
Ronaldo anachekesha kweli..kama naye ni mkali kwa nn asingeenda kuchezea Parma huko Italy ili tujue kuwa yeye ni mkali, zaidi ya kutafuta timu kubwa tu, kaondoka Man, kaenda Madrid amekutana na mafundi kama Marcelo, Modric,Kross, Benzema na wengineo, Akaona ili kubeba Kombe la Italy lazima nieende kwa mabingwa yaani Juve yenye mafundi kama Mario, Douglas Costa, Dyabala nk..kama Yeye mkali na anahitaji changamoto aende angalau hata Parma tu sio mbaya ili tuone uwezo wake wa kuisaidia timu hadi inabeba ubingwa, sio kukimbilia timu kubwa ili akaendeleze mchezo wa "Nipe nifunge mimi"...
Very shallow points
Timu gani wangeweza kumpa mshiko aliokuwa anautaka Ronaldo?. Napoli wenyewe walimtaka na wakashindwa kwenye bei. Kwa mshiko aliokuwa anautaka CR7 ni timu zisizozidi 6 tu Ulaya ndizo zingeweza kumlipa.
  1. Man U - Wangemchukua ila wanakamuliwa kisawasawa na Sanchez
  2. Barca - Tayari Messi anawakamua kisawasawa
  3. Bayern Munich - hawana ndoto ya UEFA
  4. PSG, tayari ina mastaa kibao kwenye nafasi za mbele
  5. Real Madrid - wameshindwana kwenye mshiko - na nafikiri kwa sasa Perez anajuta kumwachia aende
Hata hizi timu zisingeweza kumlipa kwa sababu ya ubahili - Angalia mastaa wao wanavyolipwa. Ukiondoa Arsenal hizo zingine hata zaidi ya Paundi 250,000 hawajawahi kulipa mchezaji
  1. Liverpool FC: Mohamed Salah - £200,000
  2. Tottenham Hotspurs: Harry Kane - £200,000
  3. Chelsea FC: Eden Hazard - £200,000
  4. Arsenal FC: Mesut Özil - £350,000
  5. Man City: Sergio Agüero - £220,000
Ebu niambie Parma yako wangeuza nini ili kumlipa CR7 au wangemtafuta kwanza tajiri mwarabu kama walivyofanya Man city na PSG ili wapate mshiko wa kutosha.
 
Maradona alitoka Barcelona akahamia Napoli ikiwa timu ndogo sana, akaipa jina mpaka leo, Messi naye kama kweli ni mfalme wa soka atoke huko mafichoni aende kwenye ligi zingine ili tujue kama Jogoo la shamba linaweza wika mjini
Yule alienda napoli kula Unga. Kule unapatikana kirahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maradona alitoka Barcelona akahamia Napoli ikiwa timu ndogo sana, akaipa jina mpaka leo, Messi naye kama kweli ni mfalme wa soka atoke huko mafichoni aende kwenye ligi zingine ili tujue kama Jogoo la shamba linaweza wika mjini
Aje Lipuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ronaldo anachekesha kweli..kama naye ni mkali kwa nn asingeenda kuchezea Parma huko Italy ili tujue kuwa yeye ni mkali, zaidi ya kutafuta timu kubwa tu, kaondoka Man, kaenda Madrid amekutana na mafundi kama Marcelo, Modric,Kross, Benzema na wengineo, Akaona ili kubeba Kombe la Italy lazima nieende kwa mabingwa yaani Juve yenye mafundi kama Mario, Douglas Costa, Dyabala nk..kama Yeye mkali na anahitaji changamoto aende angalau hata Parma tu sio mbaya ili tuone uwezo wake wa kuisaidia timu hadi inabeba ubingwa, sio kukimbilia timu kubwa ili akaendeleze mchezo wa "Nipe nifunge mimi"...
Ni sawa na kusema PEP aende Cardiff City na aoneshe kua yeye ni kocha bora. haitajiki kwenda huko kujua ubora. hata mess ni bora pale Barc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuona Messi akijilinganisha na mtu yeyote. Ila wachezaji wengine ndiyo wanahangaika kujilinganisha au kulinganishwa na Messi. Yupo kimya na soka uwanjani.

Nadhani anajua ni bora na hakuna mfano wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom