Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Vincent Garcia, Mhariri Mkuu wa France Football ambao ndio wamiliki wa tuzo za Ballon d'Or amebaki njia panda baada ya CR7 kuzikacha tuzo hizo.
Pia, Soma:
"Washindi wote waliopita Ballon d’Or wanaruhusiwa kuhudhuria sherehe zetu zote za Ballon d’Or ila Ronaldo huwa haji sijui bado ana hasira na sisi, lakini pia anakidhi vigezo vya kumpigia kura mchezaji bora chipukizi kila mwaka ila mwaka jana hakupiga kura na mwaka huu pia hakupiga kura, sijui tatizo ni nini maana huwa siongei nae moja kwa moja."
Pia, Soma:
- Rodri ashinda Ballon d’Or 2024, kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo
- Majina ya Vinicius Jr na Jude Bellingham yaondolewa kwenye Viti vyao katika Hafla ya Ballon d’Or usiku huu
- Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr
- Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu
"Washindi wote waliopita Ballon d’Or wanaruhusiwa kuhudhuria sherehe zetu zote za Ballon d’Or ila Ronaldo huwa haji sijui bado ana hasira na sisi, lakini pia anakidhi vigezo vya kumpigia kura mchezaji bora chipukizi kila mwaka ila mwaka jana hakupiga kura na mwaka huu pia hakupiga kura, sijui tatizo ni nini maana huwa siongei nae moja kwa moja."

