Cristiano Ronaldo atapewa tuzo ya BALLON d'or 2019

Messi atwae copa america kwanza.,mane atwae hilo la afrika kwanza,laporte hata timu ya taifa hana namba, mnyama ana euro,euro national league ,coppa italia,serie A
yatakuwa maajabu ya dunia,anayestahili kiatu cha dhahabu mwaka huu ni Messi,Laporte au Mane.
 
Kazi ya mnyama champions league kila mtu alishuhudia
 
akichukua naacha kushabikia mpira na najitoa jf

Hawa wapenzi wa Ronaldo wanavichekesho sana aisee yaani mtu kapitwa magoli na Mzee wa miaka 40 kwenye league ya Italy aje kuwa mshindi wa Ballon d
 
Kwahiyo lile bonanza dhidi ya Uholanzi ndo limpe Ballon?Inaonekana bado hujainuka kitandani tangu ulipolala jana.
 
Kwahiyo lile bonanza dhidi ya Uholanzi ndo limpe Ballon?Inaonekana bado hujainuka kitandani tangu ulipolala jana.
Kuna watu wanaupenda mpira ila hawajui... wametawaliwa na mahaba tu kwenda mbele.

mtu kacheza mechi mbili tu kwenye michuano mzima eti tayari kuna watu wanaona ni kigezo cha kuchukua ballon d'or.

Kama kuna mchezaji wa kireno atakuwepo kwenye ile final shortlist basi ni Benardo Silva na kwa mtzamo wangu mpaka hapa yeye ndio anastahili kuchukua tuzo hii akifuatiwa na Virgil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…