Cristiano Ronaldo (CR7) amvisha pete ya uchumba ya Bilioni 1.8 za Kitanzania mpenzi wake

Cristiano Ronaldo (CR7) amvisha pete ya uchumba ya Bilioni 1.8 za Kitanzania mpenzi wake

Dah...nilikuwa nkiambiwa nioe umri mkubwa nilikuwa nasema kwa sauti kubwa huyo christiano ronaldo na mihela yake bado ajaoa mimi nina nini mpaka nioe....sasa naona mdhamini wangu anaenda kuniachia manyoya muda si mrefu.
ha ha ha!!
 
Ronaldo kaanza kushika mahela toka ana miaka 20.. ila anachumbia akiwa na miaka 35

Bongo huku tukipata vikazi vya laki 6 tu.. wazazi na wanawake wanalazimisha tuwaoe. Na hapo hapo watasema wanataka pete ya gharama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi kwel kwel
 
Hatimaye mchezaji wa mpira wa migiuu wa timu ya Juventus ya Italia hatimaye amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Georgina.

Pete hio ya almasi ina thamani ya pesa za kitanzania Bilioni 1.8.

If you love her, why not!!!

Nani aje nimvishe hata ya milioni 100 tu !!

View attachment 1570674
Bado kidogo ifikie Ile hela ya Hamisi anayoililia
 
Ronaldo kaanza kushika mahela toka ana miaka 20.. ila anachumbia akiwa na miaka 35

Bongo huku tukipata vikazi vya laki 6 tu.. wazazi na wanawake wanalazimisha tuwaoe. Na hapo hapo watasema wanataka pete ya gharama
Nani kasema Ronaldo ndio references ya kuchumbia?
 
Hatimaye mchezaji wa mpira wa migiuu wa timu ya Juventus ya Italia hatimaye amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Georgina.

Pete hio ya almasi ina thamani ya pesa za kitanzania Bilioni 1.8.

If you love her, why not!!!

Nani aje nimvishe hata ya milioni 100 tu !!

View attachment 1570674
Huyu Mr. Misifa kama DIAMOND TU SIO MUOAJI
 
She deserve that

Huyu demu katulia na jamaa mda mrefu sana halafu inaonekana Hana makuu kabisa

Kamzalia na mtoto anamsapoti jamaa sana

Wote tunajua CR7alikuwa kitombi Hadi akina Kim kadashian alipitaga nae[emoji2]

Safi sana CR7 uoe Sasa si unaona mwezako la pulga katulia saafi
Messi mshamba tu.

Huwezi kuwa CR7 usile watoto wazuri.

Hata ingekuwa wewe lazima ungewatundika wa kutosha.
 
Ronaldo kaanza kushika mahela toka ana miaka 20.. ila anachumbia akiwa na miaka 35

Bongo huku tukipata vikazi vya laki 6 tu.. wazazi na wanawake wanalazimisha tuwaoe. Na hapo hapo watasema wanataka pete ya gharama
Ameanza kushika hela toka akiwa na 16 huko Ureno kwao.
 
Nawaza tu,hivi kumchumbia mwanamke kwa hela nyingi namna hiyo inaweza kusaidia asije kukusaliti...?
 
Back
Top Bottom