Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
freebasic kwenye ubora wake wa kuumbuana.Bila picha hii ni gongo
noma kabisaJamaa anaukwasi wa zaidi ya 1$ billion. Yaani ni sawa una million mbili na laki tatu za kibongo utoe buku ununue maji ndio alichofanya hapo
ha ha ha!!Dah...nilikuwa nkiambiwa nioe umri mkubwa nilikuwa nasema kwa sauti kubwa huyo christiano ronaldo na mihela yake bado ajaoa mimi nina nini mpaka nioe....sasa naona mdhamini wangu anaenda kuniachia manyoya muda si mrefu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi kwel kwelRonaldo kaanza kushika mahela toka ana miaka 20.. ila anachumbia akiwa na miaka 35
Bongo huku tukipata vikazi vya laki 6 tu.. wazazi na wanawake wanalazimisha tuwaoe. Na hapo hapo watasema wanataka pete ya gharama
😄 😄 😄 😄 😄 😄Bajeti ya jangwani misimu sita hiyo...
Kwa kifupi mariah carey kaivaa timu ya simba kidoleni kwake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bilioni 23.6 za kitanzania!
Usisahau pia ni Vikosi 10 vya yangaKwa kifupi mariah carey kaivaa timu ya simba kidoleni kwake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mikiaaa banaaa na bado pesa yenyewe watatapeliwaa
Bado kidogo ifikie Ile hela ya Hamisi anayoililiaHatimaye mchezaji wa mpira wa migiuu wa timu ya Juventus ya Italia hatimaye amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Georgina.
Pete hio ya almasi ina thamani ya pesa za kitanzania Bilioni 1.8.
If you love her, why not!!!
Nani aje nimvishe hata ya milioni 100 tu !!
View attachment 1570674
Nani kasema Ronaldo ndio references ya kuchumbia?Ronaldo kaanza kushika mahela toka ana miaka 20.. ila anachumbia akiwa na miaka 35
Bongo huku tukipata vikazi vya laki 6 tu.. wazazi na wanawake wanalazimisha tuwaoe. Na hapo hapo watasema wanataka pete ya gharama
Naona malaya mwenzetu kashakwama hapoHatimaye mchezaji wa mpira wa migiuu wa timu ya Juventus ya Italia hatimaye amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Georgina.
Pete hio ya almasi ina thamani ya pesa za kitanzania Bilioni 1.8.
If you love her, why not!!!
Nani aje nimvishe hata ya milioni 100 tu !!
View attachment 1570674
Huyu Mr. Misifa kama DIAMOND TU SIO MUOAJIHatimaye mchezaji wa mpira wa migiuu wa timu ya Juventus ya Italia hatimaye amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Georgina.
Pete hio ya almasi ina thamani ya pesa za kitanzania Bilioni 1.8.
If you love her, why not!!!
Nani aje nimvishe hata ya milioni 100 tu !!
View attachment 1570674
Lini iyo harusiAlimzawadia Mendez kisiwa kwenye harusi yake itakuwa hiyo 1.8
2015 ilikuwa.Lini iyo harusi
Messi mshamba tu.She deserve that
Huyu demu katulia na jamaa mda mrefu sana halafu inaonekana Hana makuu kabisa
Kamzalia na mtoto anamsapoti jamaa sana
Wote tunajua CR7alikuwa kitombi Hadi akina Kim kadashian alipitaga nae[emoji2]
Safi sana CR7 uoe Sasa si unaona mwezako la pulga katulia saafi
Ameanza kushika hela toka akiwa na 16 huko Ureno kwao.Ronaldo kaanza kushika mahela toka ana miaka 20.. ila anachumbia akiwa na miaka 35
Bongo huku tukipata vikazi vya laki 6 tu.. wazazi na wanawake wanalazimisha tuwaoe. Na hapo hapo watasema wanataka pete ya gharama
YeahNawaza tu,hivi kumchumbia mwanamke kwa hela nyingi namna hiyo inaweza kusaidia asije kukusaliti...?