Cristiano Ronaldo hatimaye ametupa taulo

Cristiano Ronaldo hatimaye ametupa taulo

Sikumshuhudia Gaucho

Nimeamgalia clip naona Gaucho zaidi ni ball dancer unataka kuniambia Gaucho ni bora kuliko Messi na Ronaldo?
Zama zile kulikua na utiritri wa mafundi, walikuwa wengi mnoo mpaka uonekane outstanding haikua rahisi: unachukua Ballon d’or mbele ya Zidane, Henry, Delima, Delpiero, Figo, Michel Owen, scholes, Rivaldo, Kaka, mpira ulikua burudani, kizazi Chenu kuna Radha mmezikosa coz now the game is not entertaining, no thrills. Kipindi hicho hakuna social media wala nini, lakini balaa lililokuwepo mmmh!. Hii Brazil iliyoshiriki worldcup juzi hakuna hata mtoto Mmoja Angeanza first eleven kwenye kikosi cha Brazil 2002 Korea na Japan pale.
 
Zama zile kulikua na utiritri wa mafundi, walikuwa wengi mnoo mpaka uonekane outstanding haikua rahisi: unachukua Ballon d’or mbele ya Zidane, Henry, Delima, Delpiero, Figo, Michel Owen, scholes, Rivaldo, Kaka, mpira ulikua burudani, kizazi Chenu kuna Radha mmezikosa coz now the game is not entertaining, no thrills. Kipindi hicho hakuna social media wala nini, lakini balaa lililokuwepo mmmh!. Hii Brazil iliyoshiriki worldcup juzi hakuna hata mtoto Mmoja Angeanza first eleven kwenye kikosi cha Brazil 2002 Korea na Japan pale.
Comment hii imenitetemesha damu enzi 2002 unaangalia mpira huku umejishika moyo.
 
Ule mchuano mkali uliodumu kwa takribani miaka 18 wa wanasoka nguli kuwahi kutokea duniani wenye vipaji vya hali ya juu hatimaye unaelekea ukingoni.

Si mwingine bali ni mchuano kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.

Cristiano Ronaldo anasema umefika wakati sasa mashabiki kukubali ukweli kuwa wakati ni ukuta kwa kiingerea unaweza kusema"Magic era has come to an end"
View attachment 2741916

Wote hawa wanaheshimiana sana Ronaldo adai hajawahi kumchukia Messi. Vile vile Messi anamuheshimu sana Cristiano Ronaldo.View attachment 2741919

Wote kwa pamoja wameshinda mataji mengi na kushinda tuzo nyingi zikiwemo tuzo 12 za ballon d'or kwa pamoja.

Messi ameshinda kombe la dunia na hivi karibuni ametajwa kuwania tuzo ya Ballon d'or kwa mwaka 2023 huku akipewa chapuo la kushinda tuzo yake ya 8 ya Ballon d'or mbele ya Erling Haaland wa Manchester City ambaye naye alikua na msimu bora sana.
View attachment 2741932

Era has come to an end.
Sema jamaa amejitahidi sana
 
Zama zile kulikua na utiritri wa mafundi, walikuwa wengi mnoo mpaka uonekane outstanding haikua rahisi: unachukua Ballon d’or mbele ya Zidane, Henry, Delima, Delpiero, Figo, Michel Owen, scholes, Rivaldo, Kaka, mpira ulikua burudani, kizazi Chenu kuna Radha mmezikosa coz now the game is not entertaining, no thrills. Kipindi hicho hakuna social media wala nini, lakini balaa lililokuwepo mmmh!. Hii Brazil iliyoshiriki worldcup juzi hakuna hata mtoto Mmoja Angeanza first eleven kwenye kikosi cha Brazil 2002 Korea na Japan pale.
mkuu huu ukweli mtupu, et mtu anasema gaucho alikuwa ball dancer, seriously!??!
 
Sikumshuhudia Gaucho

Nimeangalia clip naona Gaucho zaidi ni ball dancer unataka kuniambia Gaucho ni bora kuliko Messi na Ronaldo?
unataka kulinganisha mbingu na ardhi? unamjua gaucho wewe, et gaucho ni ball dancer, kapate tiba.
 
Back
Top Bottom