Wenye bahati ni sisi tuliomshuhudia Nabii Gaucho akiubariki mpiraTunayo bahati wote tuliowaona Ronaldo akipiga tiktak mbele ya Chielin pale Turin na Messi akimtetemesha Mikono Sir Ferguson
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye bahati ni sisi tuliomshuhudia Nabii Gaucho akiubariki mpiraTunayo bahati wote tuliowaona Ronaldo akipiga tiktak mbele ya Chielin pale Turin na Messi akimtetemesha Mikono Sir Ferguson
Sikumshuhudia GauchoWenye bahati ni sisi tuliomshuhudia Nabii Gaucho akiubariki mpira
Zama zile kulikua na utiritri wa mafundi, walikuwa wengi mnoo mpaka uonekane outstanding haikua rahisi: unachukua Ballon d’or mbele ya Zidane, Henry, Delima, Delpiero, Figo, Michel Owen, scholes, Rivaldo, Kaka, mpira ulikua burudani, kizazi Chenu kuna Radha mmezikosa coz now the game is not entertaining, no thrills. Kipindi hicho hakuna social media wala nini, lakini balaa lililokuwepo mmmh!. Hii Brazil iliyoshiriki worldcup juzi hakuna hata mtoto Mmoja Angeanza first eleven kwenye kikosi cha Brazil 2002 Korea na Japan pale.Sikumshuhudia Gaucho
Nimeamgalia clip naona Gaucho zaidi ni ball dancer unataka kuniambia Gaucho ni bora kuliko Messi na Ronaldo?
Comment hii imenitetemesha damu enzi 2002 unaangalia mpira huku umejishika moyo.Zama zile kulikua na utiritri wa mafundi, walikuwa wengi mnoo mpaka uonekane outstanding haikua rahisi: unachukua Ballon d’or mbele ya Zidane, Henry, Delima, Delpiero, Figo, Michel Owen, scholes, Rivaldo, Kaka, mpira ulikua burudani, kizazi Chenu kuna Radha mmezikosa coz now the game is not entertaining, no thrills. Kipindi hicho hakuna social media wala nini, lakini balaa lililokuwepo mmmh!. Hii Brazil iliyoshiriki worldcup juzi hakuna hata mtoto Mmoja Angeanza first eleven kwenye kikosi cha Brazil 2002 Korea na Japan pale.
Sema jamaa amejitahidi sanaUle mchuano mkali uliodumu kwa takribani miaka 18 wa wanasoka nguli kuwahi kutokea duniani wenye vipaji vya hali ya juu hatimaye unaelekea ukingoni.
Si mwingine bali ni mchuano kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?
Messi better than Ronaldo - Cole Chelsea's Joe Cole says Barcelona's Lionel Messi is ahead of Manchester United star Cristiano Ronaldo as the best player in the world. Source: BBC Sport|Football Mimi binafsi nakubaliana kabisa na maneno ya Joe Cole hapo juu, Messi anatisha! Nakumbuka wakati...www.jamiiforums.com
Cristiano Ronaldo anasema umefika wakati sasa mashabiki kukubali ukweli kuwa wakati ni ukuta kwa kiingerea unaweza kusema"Magic era has come to an end"
View attachment 2741916
Wote hawa wanaheshimiana sana Ronaldo adai hajawahi kumchukia Messi. Vile vile Messi anamuheshimu sana Cristiano Ronaldo.View attachment 2741919
Wote kwa pamoja wameshinda mataji mengi na kushinda tuzo nyingi zikiwemo tuzo 12 za ballon d'or kwa pamoja.
Messi ameshinda kombe la dunia na hivi karibuni ametajwa kuwania tuzo ya Ballon d'or kwa mwaka 2023 huku akipewa chapuo la kushinda tuzo yake ya 8 ya Ballon d'or mbele ya Erling Haaland wa Manchester City ambaye naye alikua na msimu bora sana.
View attachment 2741932
Era has come to an end.
Sio sasa hivi unaangalia mpira huku unachati na mtoto wa mama mkweComment hii imenitetemesha damu enzi 2002 unaangalia mpira huku umejishika moyo.
Comment hii imenitetemesha damu enzi 2002 unaangalia mpira huku umejishika moyo.
mkuu huu ukweli mtupu, et mtu anasema gaucho alikuwa ball dancer, seriously!??!Zama zile kulikua na utiritri wa mafundi, walikuwa wengi mnoo mpaka uonekane outstanding haikua rahisi: unachukua Ballon d’or mbele ya Zidane, Henry, Delima, Delpiero, Figo, Michel Owen, scholes, Rivaldo, Kaka, mpira ulikua burudani, kizazi Chenu kuna Radha mmezikosa coz now the game is not entertaining, no thrills. Kipindi hicho hakuna social media wala nini, lakini balaa lililokuwepo mmmh!. Hii Brazil iliyoshiriki worldcup juzi hakuna hata mtoto Mmoja Angeanza first eleven kwenye kikosi cha Brazil 2002 Korea na Japan pale.
unataka kulinganisha mbingu na ardhi? unamjua gaucho wewe, et gaucho ni ball dancer, kapate tiba.Sikumshuhudia Gaucho
Nimeangalia clip naona Gaucho zaidi ni ball dancer unataka kuniambia Gaucho ni bora kuliko Messi na Ronaldo?
nimetetemeka pia wallah, japo hajamtajia watabe wote wa mpira miaka hyo.Comment hii imenitetemesha damu enzi 2002 unaangalia mpira huku umejishika moyo.